Dodoma: Wajumbe wawasili, wajipanga kuisimamia katiba ya CCM

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,800
Wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM wameanza kuwasili hapa Dodoma. Wako tayari kwa mkutano wa Jumamosi ijayo wenye ajenda ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa.

Wajumbe hao sasa wanajipanga kuisimamia katiba ya CCM na kuhakikisha inafuatwa katika kipindi chote cha mkutano huo. Wajumbe hao wamesisitiza bila kuliza kuwa Mwenyekiti anapaswa kuchaguliwa badala ya kukabidhiwa.

Wameshapangwa wachokoza mada kikaoni. Wameshajipanga kuanzia wale wa Kamati Kuu,Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu. Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu vitaanza. Maandalizi yameshakamilika. Kaeni mkao wa kula!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
 
Kwa upande wetu katiba haina nguvu yeyote kwenye kumpata MWENYEKITI ndiyo maana tanakabidhi tu hakuna mambo ya kuchaguana hapa. Atakayepewa / kukabidhiwa anatosha kabisa.
 
Sio leo mmeanza kuota
2015 mlisema ccm itagawanyika
Matokeo yake ikawa Imala zaidi

Mwenyekiti ajae ni Rais wetu John pombe Joseph Magufuli
Kwahio ongezeni kupata umaarufu kupitia vikao vya Ccm
Maana CDM hakuna chakuandika
 
Hakatwi mtu hapa. Ilikuwa usemi maarufu wakati ule. Sasa limekuja la kufuata katiba wakati huo umeishakuwa ni utamaduni wa CCM kukabidhiana kijiti.

Hakatwi mtu mwishowe iliyeyuka na akakatwa na mengine sasa ni historia. Kwa mwenendo huo, kijiti kitakadhibiwa bila ajizi.
 
Wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM wameanza kuwasili hapa Dodoma. Wako tayari kwa mkutano wa Jumamosi ijayo wenye ajenda ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa.

Wajumbe hao sasa wanajipanga kuisimamia katiba ya CCM na kuhakikisha inafuatwa katika kipindi chote cha mkutano huo. Wajumbe hao wamesisitiza bila kuliza kuwa Mwenyekiti anapaswa kuchaguliwa badala ya kukabidhiwa.

Wameshapangwa wachokoza mada kikaoni. Wameshajipanga kuanzia wale wa Kamati Kuu,Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu. Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu vitaanza. Maandalizi yameshakamilika. Kaeni mkao wa kula!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Bawacha at work
 
Hakatwi mtu hapa. Ilikuwa usemi maarufu wakati ule. Sasa limekuja la kufuata katiba wakati huo umeishakuwa ni utamaduni wa CCM kukabidhiana kijiti.

Hakatwi mtu mwishowe iliyeyuka na akakatwa na mengine sasa ni historia. Kwa mwenendo huo, kijiti kitakadhibiwa bila ajizi.
Mkuu, unatonesha majeraha ya watu yaliyoanza kupona. Wakati ule tuliokuwa tunampinga Lowasa tulionekana wabaya. This time again tunaotaka JPM awe mwenyekiti wetu tunaonekana wabaya. Uzuri ni kwamba ni sisi ndio siku zote tunaibuka washindi
 
Kwa upande wetu katiba haina nguvu yeyote kwenye kumpata MWENYEKITI ndiyo maana tanakabidhi tu hakuna mambo ya kuchaguana hapa. Atakayepewa / kukabidhiwa anatosha kabisa.
Hebu tuwe wa wazi katiba gani ili tumika kumpa mwanachama mwenye umri wa siku 3 ndani ya chama kugombea Urais?
Wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM wameanza kuwasili hapa Dodoma. Wako tayari kwa mkutano wa Jumamosi ijayo wenye ajenda ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa.

Wajumbe hao sasa wanajipanga kuisimamia katiba ya CCM na kuhakikisha inafuatwa katika kipindi chote cha mkutano huo. Wajumbe hao wamesisitiza bila kuliza kuwa Mwenyekiti anapaswa kuchaguliwa badala ya kukabidhiwa.

Wameshapangwa wachokoza mada kikaoni. Wameshajipanga kuanzia wale wa Kamati Kuu,Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu. Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu vitaanza. Maandalizi yameshakamilika. Kaeni mkao wa kula!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
 
KAULI WAHED anaetaka kupiga kura na apige na asietaka aondoke,mpaka leo hii watu wanaugua na wengine hawajulikani walipo,ni kumbukumbu tu ya mkutano mkuu wa mwisho miezi kumi iliopita!
 
Kuna watu wanaiombea mabaya CCM aisee. Bahati mbaya mabaya yanawakuta wao. Mzee Tupatupa jitokeze kwa rangi yako halisi. Wewe ni mmoja wa wwle wanaoendesha mkakati ili JPM asiwe Mwenyekiti. Mmedhibitiwa
Huyu ni Bavicha ana id yake verified humu na ni mwanasheria
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom