Dodoma: Wajumbe wawasili, wajipanga kuisimamia katiba ya CCM

Hakatwi mtu hapa. Ilikuwa usemi maarufu wakati ule. Sasa limekuja la kufuata katiba wakati huo umeishakuwa ni utamaduni wa CCM kukabidhiana kijiti.

Hakatwi mtu mwishowe iliyeyuka na akakatwa na mengine sasa ni historia. Kwa mwenendo huo, kijiti kitakadhibiwa bila ajizi.
Lakini mwisho wake Jiji la Dar likaangukia kwenye mikono salama ya UKAWA.
 
BA-VICHAA baada ya kunusa kipigo kitakatifu kilichoaandaliwa kwa nyumbu mmeona bora mtumie propaganda za kitoto

Poleni nyumbu
 
Kuna watu wanaiombea mabaya CCM aisee. Bahati mbaya mabaya yanawakuta wao. Mzee Tupatupa jitokeze kwa rangi yako halisi. Wewe ni mmoja wa wwle wanaoendesha mkakati ili JPM asiwe Mwenyekiti. Mmedhibitiwa

Mkuu kwani humjui VUTANIKUVUTE mleta maada ni nani? Usipoteze muda naye huyo.Kwanza sio Mwana CCM.Sitaki kumwanika hapa.Asikupotezee muda.Mwambie awasalimie wanasheria wenzie kama yeye ni mwanasheria
 
Wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM wameanza kuwasili hapa Dodoma. Wako tayari kwa mkutano wa Jumamosi ijayo wenye ajenda ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa.

Wajumbe hao sasa wanajipanga kuisimamia katiba ya CCM na kuhakikisha inafuatwa katika kipindi chote cha mkutano huo. Wajumbe hao wamesisitiza bila kuliza kuwa Mwenyekiti anapaswa kuchaguliwa badala ya kukabidhiwa.

Wameshapangwa wachokoza mada kikaoni. Wameshajipanga kuanzia wale wa Kamati Kuu,Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu. Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu vitaanza. Maandalizi yameshakamilika. Kaeni mkao wa kula!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Bure tu mnahangaika.. jpm anakabidhiwa rungu ccm na mtaisoma namba. Bora majipu kujikamua yenyewe kabla champion hajashika usukani.
 
Hakuna wa kzmzuia mfalme....watu wanalalamika chinichini tu..ila wakumzuia hayupo....ccm hakuna demokrasia na hutakiwi kuhoji
 
Wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM wameanza kuwasili hapa Dodoma. Wako tayari kwa mkutano wa Jumamosi ijayo wenye ajenda ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa.

Wajumbe hao sasa wanajipanga kuisimamia katiba ya CCM na kuhakikisha inafuatwa katika kipindi chote cha mkutano huo. Wajumbe hao wamesisitiza bila kuliza kuwa Mwenyekiti anapaswa kuchaguliwa badala ya kukabidhiwa.

Wameshapangwa wachokoza mada kikaoni. Wameshajipanga kuanzia wale wa Kamati Kuu,Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu. Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu vitaanza. Maandalizi yameshakamilika. Kaeni mkao wa kula!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)

BAVICHA utasubiri sana
 
Sio leo mmeanza kuota
2015 mlisema ccm itagawanyika
Matokeo yake ikawa Imala zaidi

Mwenyekiti ajae ni Rais wetu John pombe Joseph Magufuli
Kwahio ongezeni kupata umaarufu kupitia vikao vya Ccm
Maana CDM hakuna chakuandika
Imala? Ndio lugha gani hiyo? Jifunze kwanza kuandika ndio urudi JF.
 
Lakini mwisho wake Jiji la Dar likaangukia kwenye mikono salama ya UKAWA.
Kwamba Jiji lipo mikononi mwa UKAWA halina ubishi. La msingi UKAWA ifanye kweli ili tofauti ionekane. Dalili ni nzuri so far. Time will eventually tell.
 
Acha wafu wazikane.Sisi tuko na mtakatifu,mwenyeheri na maraika mkuu Pombe.Kwenye chama CCM atakeye let's fyokofyoko kupinga Maraika mkuu kupewa unyekiti atapigwa na kufutwa uanachama.UVCCM TUKO IMARA KUMPA MTAKATIFU RAISI UENYEKITI
 
Back
Top Bottom