Dodoma: Wafanyabiashara wakubwa tumewakosea nini TRA Serikali?

gidume

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
743
906
Dodoma leo kuanzia kama nusu saa lililopita wafanyabiashara wakubwa tunaionja joto ya jiwe baada ya ofisi na biashara zetu kufungwa ikiwa ni sababu ya kutolipia au kutowasilisha return ya kodi mwezi..

Ukilipa nusu pia unalo.Hapo bado kodi zingine nyingi ikiwemo za manispaa,anatoka afisa huyu anaingia afisa yule,mifuko ya jamii bado.ofisi zinafungwa kama hawana akili nzuri..tunaisoma namba haswa..joto la kufungiwa ofisi lisikie kwa wenzio tu..lisikukute wewe..

Hvi serikali inategemea tuweke reserve kwa ajili ya mapato yao? Wanadhani izo ela sisi tunazila? Hawajui kama tuna mikopo tunatakiwa tutoe repayments kubwa zenye riba kubwa ambazo hazina kodi? Mdororo huu wa uchumi ela zinatoka wapi kama serikali yenyewe ndio mlimbikizaji mkuu wa hela za huduma ikiwa yenyewe haioperate on accrual basis kwenye shuguli za kodi.to collect you need a feed up.

Ruhusu bas pesa kwenye mzunguko ili uchukue kodi zako na sisi tupate pakutokea.inasikitisha sana aisee..

Tunapishana tu humu katika ofisi zao mda huu..wengine wengi sana wakiwa wameshakata tamaa na barua mkononi za kufunga biashara..
Nacheka lakini sio kwa mazuri,imagine familia zao na za walio ajiliwa ..hahah ili ni somo kubwa sana..


Siku njema wakuu.
 
Umeongea kwa uchungu sana i feel the pinch polen wafanya biashara
 
Umeongea kwa uchungu sana i feel the pinch polen wafanya biashara
Asante sana mkuu.. Ndio hali hii ila tutazoea tu kwa tutakao kaza..tofauti na hapo haizoeleki utajikuta ushapanic na kuchukua hatua kama za wenzetu..
 
Ya kuanzia bahi road kwenda singida road yoote..viwandani area.
 
Tusianze kulalamika tu fuata sheria zilizotungwa na bunge tukufu ili kuepuka usumbufu usokuwa wa lazima.kulipa kodi ni wajibu wako na sio hiari.lipa kodi kwa maendeleo yako
 
Tusianze kulalamika tu fuata sheria zilizotungwa na bunge tukufu ili kuepuka usumbufu usokuwa wa lazima.kulipa kodi ni wajibu wako na sio hiari.lipa kodi kwa maendeleo yako
Kaka usiombe yakukute kiukweli Ddoma kuna ukusanyi kodi ambao unaumiza mno wananchi hat polis Ddoma kuna kitu kinaitwa sumatra kwa bodaboda kwa kweli huu c uungwana tna kwa maisha hya yalivyo magumu hvi daahh
 
Hiyo kodi unalipa na mawe? Mauzo yamepungua kodi ipo palepale sasa unalipia hela kutoka wp?
Mwambie em huyo mkuu..tena bora ue na kaduka..cc wa makampuni ndio tunasoma namba haswa..
 
Kaka usiombe yakukute kiukweli Ddoma kuna ukusanyi kodi ambao unaumiza mno wananchi hat polis Ddoma kuna kitu kinaitwa sumatra kwa bodaboda kwa kweli huu c uungwana tna kwa maisha hya yalivyo magumu hvi daahh
Tena kuna information nimezipata kwamba kwa namna yoyote kwa mkoa wa dodoma lazma malengo yavukwe sbb ndio serikali imehamia hapa..so lazma tuendane na trend..wakati izo ela ata hamna maskini..watuuwe tu kwa presha aisee.
 
nauliza hivi, zile return za kila mwisho wa mwaka ambazo tra inatakiwa ilipe kampuni, hivi huwa wanalipa kweli? na huwa mnafatilia kama wanavyofatilia wao? tunaombwa mtujuze ambao tra ishawalipa hizo returns za 18%
 
Tusianze kulalamika tu fuata sheria zilizotungwa na bunge tukufu ili kuepuka usumbufu usokuwa wa lazima.kulipa kodi ni wajibu wako na sio hiari.lipa kodi kwa maendeleo yako
Kwa maendeleo gani? Maendeleo yapi hayo ambayo unayaongelea wewe ambayo ni mpya cc kuyaona..
 
Tusianze kulalamika tu fuata sheria zilizotungwa na bunge tukufu ili kuepuka usumbufu usokuwa wa lazima.kulipa kodi ni wajibu wako na sio hiari.lipa kodi kwa maendeleo yako
maendeleo gani mkuu, ya kununua wapinzani au
 
Dodoma leo kuanzia kama nusu saa lililopita wafanyabiashara wakubwa tunaionja joto ya jiwe baada ya ofisi na biashara zetu kufungwa ikiwa ni sababu ya kutolipia au kutowasilisha return ya kodi mwezi..

Ukilipa nusu pia unalo.Hapo bado kodi zingine nyingi ikiwemo za manispaa,anatoka afisa huyu anaingia afisa yule,mifuko ya jamii bado.ofisi zinafungwa kama hawana akili nzuri..tunaisoma namba haswa..joto la kufungiwa ofisi lisikie kwa wenzio tu..lisikukute wewe..

Hvi serikali inategemea tuweke reserve kwa ajili ya mapato yao? Wanadhani izo ela sisi tunazila? Hawajui kama tuna mikopo tunatakiwa tutoe repayments kubwa zenye riba kubwa ambazo hazina kodi? Mdororo huu wa uchumi ela zinatoka wapi kama serikali yenyewe ndio mlimbikizaji mkuu wa hela za huduma ikiwa yenyewe haioperate on accrual basis kwenye shuguli za kodi.to collect you need a feed up.

Ruhusu bas pesa kwenye mzunguko ili uchukue kodi zako na sisi tupate pakutokea.inasikitisha sana aisee..

Tunapishana tu humu katika ofisi zao mda huu..wengine wengi sana wakiwa wameshakata tamaa na barua mkononi za kufunga biashara..
Nacheka lakini sio kwa mazuri,imagine familia zao na za walio ajiliwa ..hahah ili ni somo kubwa sana..


Siku njema wakuu.
Msiba wa kujitakia hauna uchungu , mliipenda wenyewe,Dodoma yote mlichagua chama chenu pendwa.

Mbunge mojawapo toka mkoa wa Dodoma ni spika wa bunge, anayofanya hata mwanangu wa miaka miwili hawezi Fanya, utumbo mtupu

Mwingine (toka mkoa huo) anataka rais aongezewe miaka miwili iwe saba .

Then kibajaji,huyu nikimuelezea nitakuwa nimeidhalilisha jamii iliyostaarabika.

TRA komaeni hivyo hivyo,may be just may be next time watatumia akili
 
Dodoma leo kuanzia kama nusu saa lililopita wafanyabiashara wakubwa tunaionja joto ya jiwe baada ya ofisi na biashara zetu kufungwa ikiwa ni sababu ya kutolipia au kutowasilisha return ya kodi mwezi..

Ukilipa nusu pia unalo.Hapo bado kodi zingine nyingi ikiwemo za manispaa,anatoka afisa huyu anaingia afisa yule,mifuko ya jamii bado.ofisi zinafungwa kama hawana akili nzuri..tunaisoma namba haswa..joto la kufungiwa ofisi lisikie kwa wenzio tu..lisikukute wewe..

Hvi serikali inategemea tuweke reserve kwa ajili ya mapato yao? Wanadhani izo ela sisi tunazila? Hawajui kama tuna mikopo tunatakiwa tutoe repayments kubwa zenye riba kubwa ambazo hazina kodi? Mdororo huu wa uchumi ela zinatoka wapi kama serikali yenyewe ndio mlimbikizaji mkuu wa hela za huduma ikiwa yenyewe haioperate on accrual basis kwenye shuguli za kodi.to collect you need a feed up.

Ruhusu bas pesa kwenye mzunguko ili uchukue kodi zako na sisi tupate pakutokea.inasikitisha sana aisee..

Tunapishana tu humu katika ofisi zao mda huu..wengine wengi sana wakiwa wameshakata tamaa na barua mkononi za kufunga biashara..
Nacheka lakini sio kwa mazuri,imagine familia zao na za walio ajiliwa ..hahah ili ni somo kubwa sana..


Siku njema wakuu.
Komaeni hivyo hivyo mtatoka,!! Si mlichekelea mliposikia makao makuu yanahamia Dodoma?? Ulitaka sisi wa mikoa mingine tuwajengee Dodoma yenu?!! Lipeni kodi mji wenu uboreshwe eboo!!
 
Back
Top Bottom