Ukiacha Pascal hakuna Pro-ccm ambaye ni verifiedCCM mbere kwa mberee
Wanaogopa kuwa verified, hata ungekua wewe ungeogopa tuUkiacha Pascal hakuna Pro-ccm ambaye ni verified
Mbona mara nyingi tunasikia fulani kaiba halafu ukiletwa ushahidi hakuna kitu....Kwani hiyo kamati hajui hiyo kanuni
Hizi ni mbwembwe tu za hawa jamaa...mali za serikali zinauzwa bei ya ajabu sanaKwani hiyo kamati hajui hiyo kanuni
Taja aliyenunua, sio jina, kama hutakuta ni mwanachama au kiongozi mwenzao wa ccm.Dodoma!
Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Godwin Mkanwa imebaini uuzwaji wa gari la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa lenye thamani ya milioni 140 kwa million 4.9 kinyume na sheria ya mali za Umma!
Chanzo: Darmpya
Dodoma!
Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Godwin Mkanwa imebaini uuzwaji wa gari la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa lenye thamani ya milioni 140 kwa million 4.9 kinyume na sheria ya mali za Umma!
Chanzo: Darmpya