SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
Ni kama Jamaa Pale Magogoni anatafuta kwa issue ya IPTL ambayo ya ACASHIA hajamalizana nayoLissu anatafuta kiki,kuficha maovu yake ya ACACIA mining yaliofeli.
Huko bungeni hajamaliza ngazi za kuomba marejeo anakimbilia mahakamani.
Bahati mbaya mahakama,imefungwa mikono kwa kujadili kinachoamuliwa na bunge,hiyo kesi imeshaanguka kabla hata ya kufunguliwa.