ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
Dodoma sio padogo kama unavyofikiri.Veyula,msalato, makutopora, mzakwe, Areas (A-E) makole, Cbe udom, jwtz, hapo town. Watu wanajificha tu.Kwa namna mji wa dodoma ulivyo mdogo, nashangaa sana hawa watu hawajakamatwa mpaka sasa.