DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

85dc193b3d0987ad16e6a2a42a827a6e.jpg
Chuki inatupeleka pabaya sana, mmefikia mahali mnataka kumuua Lissu?

Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..
 
Huko huko hosptali ndio tamaliziwa vizuri...

but nahisi hii ni kiki ya CHADEMA baada ya kuona Magufuli kawafunik na issue ya report ya bunge
 
Back
Top Bottom