Chuki inatupeleka pabaya sana, mmefikia mahali mnataka kumuua Lissu?
Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe .Wakuu,
Inadaiwa Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rai rais wa Chama cha Wanasheria Tanganganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa sasa wapo hospitali ya Mkoa, mjini Dodoma.
Updates to follow
Mama muache tu huyo mjinga sanahuna lolote wewe mnafiki tu!na ole wenu afe
nmekutukana huna akili....tunaongelea maisha ya mtu kapigwqa risas we unaleta habar zako za lumumbaHii kama ni kweli bhasi ni wao WATAKUWA WANATENGENEZA HUU UJINGA....maana hii ndio njia mbadala kwa sasa ya kupambna na MAGUFULI.....ni kumchafua kama ambavyo walivyotengeneza ishu ya IMMA
Weka bunduki chini tubishane kwa hoja.Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..
Planted AskariHuu uzi unafatiliwa kwa karibu sana na viongozi wa CCM.
Chungeni sana kauli zenu.