THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Sasa wameamua kutumia utaratibu wa kagame kabisa?
Bad News get well soon Tundu Lissu
Stand ndio hospitali au chumba cha habari?Nipo stendi hapa Dodoma mbona hakuna hiyo taarifa .
much more to come.
pole mpambanaji mwanasheria na mbunge tunakuombea upone haraka.
Baada ya kushikwa pabaya wanaitikia chorus ya LissuSasa wameamua kutumia utaratibu wa kagame kabisa?
Hawakua na nia ya kumuua
Wakitaka muonesha kuwa wanaweza muua
Hawakupendezwa na alichosema
Mbona unajishtukia wewe?Katajwa yeyote? Mbona unapre-empt?