Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,792
- 71,206
Wewe kama hujui nini Lissu kafanya kwa watu kama wakili kabla ya kuingia bungeni na pia kama mbunge wa JMT basi wewe ni bonge la MTU asiyejitambua au kujua ya nchi hii.WATANZANIA TUNATAKA TUAMBIWE ULITUFANYIA NINI, NA UTATUFANYIA NINI. HATUTAKI HURUMA NDO IWE SIFA YA KUPEWA IKULU.
Ukinitajia mbunge hata mmoja aliyeonyesha kuipigania nchi hii kusimamia sheria na katiba bungeni zaidi ya Lissu katika historia basi nitakaa kimya kabisa.