Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,557
- 29,653
Kesi yake ipo under inveatigation.Angekufa mngetaifisha Gari lake? acha visingizio vya kishamba toka kolomije
Tulia dogo
Kesi yake ipo under inveatigation.Angekufa mngetaifisha Gari lake? acha visingizio vya kishamba toka kolomije
Mtukufu alijaa ushetani kupita kiasi mpaka shetani wengine wamemkimbia mungu kumwambia aache mipango ya shambulio la pili ambalo lilipangwa tena na Bashite na cyprian Musiba ambalo walitaka liwe ni njia za kujipendekeza kwa mtukufu wapate uteuzi, kwa Bahati nzuri sasa wapo wanaccm hawapendi uonevu wanaofanyiwa chadema huwamegea taarifa za vikao vya siri vya kuwaangamiza toka kwa viongozi wote CCM.Hehehe Jamaa haogopi tena kifo wala mateso... Huu ujasiri wake ipo siku utaleta matunda positive.. Vile vijana now wana amka na kuacha uoga...Nchi watu tulikuwa waoga sana.. Ila jamaa anachofanya anaweka attitude fulani hvi watu waache uoga
Bima inapaswa kulipa soon, wakiishapata police report,ila kwakuwa polisi hawajiangahishi na uchunguzi wa tukio.Arudishiwe gari yake tutamchangia alitengeneze kama bima wasipomlipa.
Gari hawataweza kumpa kwa sasa, linaweza kuleta kizaa zaa, pindi wakilazimika kuchunguza na likawa liliisha tengenezwa au kuuzwa na kumilikiwa na mtu mwingine...inachukua miaka mitatu kulichunguza hilo gari?
..hao hawachunguzi chochote, wamrudishie TL gari lake.
Hawawezi kuba chochote kwasababu inaweza kutokea akashinda, halafu akawataka wachunguze au akaomba msaada wa uchunguzi wa tukio nje ya nchi.Kalifuata ila hapo ukute wameshaiba kila kitu hadi engine!!! Ndipo kesi mpya itakapounguruma....
Gari hawataweza kumpa kwa sasa, linaweza kuleta kizaa zaa, pindi wakilazimika kuchunguza na likawa liliisha tengenezwa au kuuzwa na kumilikiwa na mtu mwingine.
Hilo litakuwa hapo polisi kwa muda mrefu, nahisi.
Kuwa specificHehehhe aisee Lissu anawatesa sana watawala wa nchi hii
JokaKuu..afande Sirro alisema wapelelezi wake wanamtafuta TL lakini hawajampata.
..sasa leo TL kaenda mpaka kituoni kilichowashinda kumkamata na kumhoji ni nini?
Hahaha hap sijui zaidi...sidhani kama Polisi wanachunguza.
..ndiyo maana nashauri wampe TL gari lake, badala ya kuendelea kumdanganya, na kuwadanganya waTz.
😂😂😂😂Nashangaa hawajamkamata!! Mbona wanakuwa wema sana kwa Lissu tangu arudi.
Huyu Lissu ni mpumbavu kweri kweri. Mahakamani haendi kwenye makesi yake kisa "eti" yupo bize anagombea, wakati huo huo kiguu na njia Polisi tena bila hata kuitwa "eti" kuulizia kwanini haojiwi! Pumbavu!!!!CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA
Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Mh. Tundu Lissu, leo ametembelea Ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kuchukua gari lake ambalo limehifadhiwa na Jeshi la Polisi Mkoa huo jaribio la mauaji dhidi ya Mh. Lissu la tarehe 7 September 2017.
Mh. Lissu aliambatana na mgombea mwenza wake Mh. Salum Mwalimu na alipokelewa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, SACP Giles Muroto.
Katika mazungumzo yake na SACP Muroto, Mh. Lissu alisema kwamba ameamua kuja yeye mwenyewe baada ya utaratibu wa kulipata hilo kwa njia zingine kushindikana.
Kwa upande wake, SACP Muroto alimweleza Mh. Lissu kwamba Jeshi la Polisi mkoani hapo linahitaji muda zaidi ili kujiandaa kulikabidhi gari hilo kwake.
Aidha, SACP Muroto alimweleza Mh Lissu kwamba Jeshi la Polisi linamhitaji atoe maelezo kwa Jeshi la Polisi kuhusu kushambuliwa kwake September 2017.
Mh. Lissu alijibu kwamba yeye yuko tayari kutoa maelezo polisi kwa tarehe na muda utakaokuwa muafaka kwa pande zote mbili.
Mh. Lissu alisisitiza mshangao wake kwamba hadi sasa, takriban miaka mitatu tangu kushambuliwa kwake, Jeshi la Polisi halijafanya uchunguzi wowote, ikiwemo kumhoji yeye na dereva wake Adam Bakari Mohamed, licha ya kuahidi kwamba lingefanya tangu Mh. Lissu akiwa hospitalini nchini Kenya.
Imetolewa leo Alhamis, Agosti 27, 2020 na;
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Kwani mimi nimeandikaje au kusoma kiswahili nako tatizo.
hiki ni kipindi cha kampeni hivyo lazima uwe makini na hatua unazochukua dhidi ya kila ufanyalo, ndio maana walifanya maandamano siku ya msiba wa kitaifa wa hayati Mh. Benjamini Mkapa - raisi mstaafu na hawakufanywa chochote, wakaja na kauli za kutatanisha na kutishia usalama wa TZ ila wao wakakaa kimya, saiv kaamua kwenda polisi mwenyewe angali anajua ya kuwa hakuwa tayar kutoa ushirikiano toka mwanzo na kubaki kutoa povu dhidi ya vyombo vya ulinzi na Raisi wa nchi huku akikataa kuja kuendelea na kesi, ila hivi sasa ndio anaenda polisi coz anaona njia zote alizojaribu kufanikisha lengo lake zimegonga mwamba - nao wanamuangalia tyuuu kama mwana sesere.Nashangaa hawajamkamata!! Mbona wanakuwa wema sana kwa Lissu tangu arudi.
Utakamilika baada ya uchaguziNi vyema upelelezi kuhusu hili tukio ukamilishwe na wahusika kuwajibishwa.
AnaweWasiojulikana mpaka wajulikane.