Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Sasa mkuu, bhasi wasingeruhusu Ardhi iliyopangwa kw ajili ya "Ring road" wananchi waiendeleze.
Naona wamekosea, sasa hitaji mbeleni likihitajika watavunja makazi ya watu?
Mradi ulikuwa mzuri, sijui waliositisha wameona nini?!?
Naungana na WEWE by 100%,They should protect and stands with plans for future generations,hapa ndipo wazungu wanapotushia.
 
Serikali ya awamu ya tano ya Hayati Magufuli twajua iliasisi miradi mingi ktk maeneo mbalimbali ya nchi,mfano bwawa la mwal. Nyerere,reli ya mwendo Kasi (SGR) ,barabara za njia nane,ringroads na miradi mingine mingi.

Miradi hii kiukweli ilileta mabadiliko makubwa ya maendeleo ya miji na vijiji,na kuleta mvuto wa miji maeneo ambayo miradi hiyo ilipita.

Baada ya kifo Cha Hayati Magufuli, aliyekuwa Rais wa awamu ya tano kuna mijadara mingi mitaani kuhusu kuendelezwa kwa hii miradi,katika pitapita nikakutana na hili la kusitishwa kwa ujenzi wa ringroad ya kati ya jiji la Dodoma ambayo ilipotia maeneo ya mtaa wa Nkuhungu

Mkurugenzi wa jiji la Dodoma amesitisha ujenzi wa ringroad hiyo na kuwaruhusu wananchi waendelee na shughuli zao za ujenzi kama kawaida, hii ni baadhi ya miradi ambayo iliasisiwa kipindi Cha Hayati Magufuli enzi za uhai wake ktk kulifanya jiji la Dodoma kuwa na muonekano mzuri na uliopangika vizuri.

Kwasasa mitaani watu wanajasili je hii miradi iliyoasisiwa na Hayati Magufuli itakamiika kweli!? au ndo hivyo tena itabaki hadithi ilisiyokuwa na mwisho!

Japo kuna siku nilimsikia Waziri Mkuu aliwatoa wasiwasi watanzania kwa kusema , watu waondoe mashaka miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na Serikali ya tano yote itakamilishwa kwa muda uleule uliokuwa umekadiliwa awali enzi za uhai wa Hayati Magufuli.

Je, ilikuwa ni kuwatuliza watu pressure za mashaka au ! Kama hii miradi midogo imeanza kusitishwa mdogomdogo je hii mingine ya mabilioni ya pesa itakuwaje? Anyway ngoja tuone mambo yatakuwaje, ila wananchi tukeyatunza maneno ya Waziri Mkuu kwenye kumbukumbu zetu, alitutia moyo na kutuondoa mashaka kwamba miradi yote iliyoasisiwa na Serikali ya awamu ya tano itakamilika.

Waziri Mkuu tunakumbuka maneno yako,ipo siku tutataka utupe maelezo ,ilikuwaje?


Hii ni habari njema sana. Kwani kuna barabara za KIMKAKATI zaidi ambazo zingali zimetelekezwa. Kwani barabara kama hii:


iko katika hali gani?

Barabara za mijini nazo ziko katika hali gani?

Mafuriko ya kila leo mijini kwa ubovu wa barabara yameshapata ufumbuzi wowote?

Hata viwanja vya ndege Chatto, daraja la Busisi na mingi ya miradi ya mwendazake isiyokuwa na kujali vipaumbele ilipaswa kusitishwa.

Hongera mama Samia kwa uongozi wa vitendo. Matendo kuongea zaidi kuliko maneno.
 
Mama ameshafeli, atakuwa raisi wa kike wa hovyo aliyewahi kutokea.

Hii ring road ilikuwa kipaumbele wakati tuna barabara kuu katika hali hizi?


Au huko sasa kulisha kamilika?
 
Watu huwa wanatizama mbali miaka hata mia mbili mbele huko.

Magufuli alikuwa anatambua kwamba baada ya miaka kadhaa, dodoma itafurika watu.

Ndio maana akaanza kuandaa miundombinu ya kimkakati ili wakati ukifika, watu wasianze kuzubaa zubaa na kutaabika ili shughuli za uchumi ziende haraka haraka na kwa wepesi.

Hiyo inaitwa akili ya kutizama mbali, yaani maono. Na sio kila mtu anaweza kuwa na akili ya aina hiyo hususani watu goigoi kama wewe mnaoishi kwa ujanja ujanja na utapeli wa kisiasa.

Nyinyi magoigoi kwa jinsi mlivyo na akili ya kutawaza mavi tu, mkipewa mlijenge hilo jiji la dodoma, mawazo yote yapo kwenye kuiba pesa za saruji na nondo ili mkanunue mishkaki na magari.

Nchi inayoongozwa na wanuka mikojo wasio na maono mapana ya muda mrefu itaishia kuwa ya ajabu ajabu tu.

Kwa mfano wewe, huna unalolijua zaidi ya kusubiri kuiba nondo na kula machips.

Unakula kula tu machips ya hovyo hovyo!
Mwenye maono alijenga International Airport kijijini, naweza sema alikuwa na akili kama zako
 
Hii ring road ilikuwa kipaumbele wakati tuna barabara kuu katika hali hizi?


Au huko sasa kulisha kamilika?
Mkuu bado unakomaa na hi barabara? Hi barabara tender ishatangazwa kitambo sana (Nov 2020) na mkandarasi alishapatikana, shida ni nn tena?au na yenyewe ujenzi umesitishwa?

 
Mkuu bado unakomaa na hi barabara? Hi barabara tender ishatangazwa kitambo sana (Nov 2020) na mkandarasi alishapatikana, shida ni nn tena?au na yenyewe ujenzi umesitishwa?


Mkuu mimi nakomaa na vipaumbele tu ikiwamo hii barabara. Ndiyo maana nikahitimisha bandiko langu na swali lile:

"Au huko sasa kulisha kamilika?"

Kwamba mkandarasi alishapatikana? Acha maneno weka Muziki! Mkandarasi aliyepatikana anakuja lini site? Lini anapanga kazi kumalizika? Jina la mkandarasi - ingependeza zaidi.

Kwa kumbukumbu zilizopo mwendazake zake alikuwa akiahidi ujenzi kamili wa barabara hiyo na kuwa pesa anazo. Hii ikiwa regularly and yearly tokea 2015 hadi alipotutoka bila kutuaga 2021 pasipo na la maana lolote kufanyika.

Huyu mkandarasi unaye msema anaanza lini hiyo kazi mkuu?
 
We mwizi wa saruji lazima ulie lie.

Nchi inajengwa na wanaume wa shoka, sio mabinti wanaojiliza mitandaoni kama wewe.

Ukipita pale juu kwenye flyover ya ubungo unakenua meno na kupanua makalio kwa raha zako, uwe unakumbuka kwamba kuna wanaume walifanya kazi pale.

Hiyo ndio maana halisi ya "vision".
Nakusoma mtaalam unavyovichapa bakora visichana vya jf
 
Miradi ya Magufuli ilikuwa ya kupiga hela, Ring road ipo na Mama kasema atajenga sasa hiyo ya Kati ilikuwa ya Nini? Ndio maaana alitutengenezea Meli za kutuuwa kule Kyela

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Ili tatizo ni sababu ya kuwa na miradi ya mtu na sio miradi ya wananchi ambayo kuanzishwa kwake inajumuisha wadau wote....

Mradi wako ni sawa kama tu pesa yote unatoa wewe..., huwezi kutumia pesa za kila mtu kufanya miradi yako, tukiendelea hivi itakuwa kila miaka kumi tunaanzisha miradi ya mtu na kuacha miradi mingine ya mtu (tutakuwa watu wa kuanzisha na kusitisha tu...)
 
Back
Top Bottom