Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,611
- 20,935
Naungana na WEWE by 100%,They should protect and stands with plans for future generations,hapa ndipo wazungu wanapotushia.Sasa mkuu, bhasi wasingeruhusu Ardhi iliyopangwa kw ajili ya "Ring road" wananchi waiendeleze.
Naona wamekosea, sasa hitaji mbeleni likihitajika watavunja makazi ya watu?
Mradi ulikuwa mzuri, sijui waliositisha wameona nini?!?