johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Rais Magufuli yuko tayari hapa uwanjani akiwawaongoza viongozi na wakazi wa Dodoma katika mapokezi ya kiongozi huyu wa Msumbiji.
Karibu, TBC wapo mubashara!
Karibu, TBC wapo mubashara!