johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan anahudhuria kikao kazi cha wakuu wa mikoa wote jijini Dodoma leo.
Tukio liko mubashara ITV, TBC na Channel ten
Rais Samia Suluhu Hassan akishuhudia Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akipokea kwa niaba yake Bango lenye wa Anwani ya Makazi ya Ofisi ya Rais, Ikulu baada ya kuzungumza katika Kikao Kazi cha Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi ukumbi wa Jakaya Kikwete
Tukio liko mubashara ITV, TBC na Channel ten
Rais Samia Suluhu Hassan akishuhudia Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akipokea kwa niaba yake Bango lenye wa Anwani ya Makazi ya Ofisi ya Rais, Ikulu baada ya kuzungumza katika Kikao Kazi cha Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi ukumbi wa Jakaya Kikwete