rudia tena...unasema??? Dada tayari oya oya washamla kichwa mida hii
Ni mshangao. Hivi mawaziri wameshakoma kazi zao?Magufuli hana mawasiliano na taasisi za serikali yake?
Naam, na Ndalichako ni mvamizi serekalini siyo?. Au unathibitisha kuwa tuna serekalini isiyo ratibiwa??Huelewi wewe! Usisahau Ndalichako alivyoua elimu wewe. Hii kitu ilitakiwa kupelekwa katika baraza la mawaziri wewe!!!!
Wanafanya hivi ili kupunguza idadi ya vijana wanaolalamika kumaliza vyuo halafu hawapati ajira.Inaamana kwenye jambo kubwa kama hili ambalo linagusa maslahi ya nchi namna hiii kwamba rais alikuwa hajui kweli au ndio ile ile ya kutengeneza matukio halafu unayatatua mwenyewe?
Press release ilishatoka zamani imesainiwa na Msigwa kwamba rais kapiga marufuku kuwauzia wamachinga vitambulisho na eti waliouziwa warudishiwe pesa zao kwamba utaratibu ulikiukwa wakati yeye ndio alikuwa anashadidia wauziwe kwa bei tajwa na kila mkoa ulipangiwa kiwango 😆😆😆😆HIVI KARIBUNI UTASIKIA ANAKANUSHA SUALA LA VITAMBULISHO VYA WAJASILIAMALI!
Akishapita tu hili linawekwa ktk utekelezaji ASAP...Ilani hii hapa
Walimu wakasome ilani ya ccm ukurasa 124 (n) wajue chama kina msimamo gani na watafakari ukweli na faida watakayopataHapa kuna kitu hapa si bure.. Walimu ngazi ya Cheti ni kujiendeleza tu.
Naomba kufuta hii baada ya kuisoma ilani ya ccm ukurasa 124(n) kumbe ilani ipo wazi Mama asionewe Jiwe muuwaji wa democracySasa nimeelewa hata huyo mama ni msanii tu wa ccm nakibali walipanga sio bure
Ipo ktk ilani uk 129(n)RAIS John Magufuli ametengua Maamuzi yaliyotangazwa na Naibu Katibu Mkuu Ave Maria Semakafu kuhusu kufutwa kwa mitaala ya Elimu kwa ngazi ya cheti...
Kikokoto oyeeeeeeMagufuli ni mshamba ile mbaya anafikili bado tupo enzi za miaka ya 1970 ambapo aliye kuwa na uwezo wa kuangalia tv alikuwa Nyerere peke yake. yaani hiyo anatengeneza tatizo halafu anakuja kulitatuwa ili aonekane kama superhero. akili ya kitoto kwelikweli. amewatuma watu waandike baruwa halafu baadaye aje aitenguwe ili walimu wamshagilie kuwa amewaokowa.
kwa tija ipi unayotoa?kutwa unashinda mitandaoni,saa 4 unakunywa chai na vitumbua hadi saa6,saa7 unaenda lunch hadi saa 9,hujibu emails wala barua za kiofisi mpaka mwananchi aje kukuonaHuyu hapati kura yangu, ni miaka mitano sasa ninasubili mshahara Mpya, hata ile annual increment imekuwa shida. Kura yangu ni kwa Lissu tu.
Kura yangu hata iweje hapati tukwa tija ipi unayotoa?kutwa unashinda mitandaoni,saa 4 unakunywa chai na vitumbua hadi saa6,saa7 unaenda lunch hadi saa 9,hujibu emails wala barua za kiofisi mpaka mwananchi aje kukuona
sawa ni haki yako lakini usisingizie mshahara.saa hizi ulitakiwa uwe ofisini uwe ofisini,saa 1.30 asubuhi uanze kazi lakini unahangaika humu,nani atakupandisha mshaharaKura yangu hata iweje hapati tu
Tumeteseka kwa miaka 5 kura yangu ni kwa Lissu tu, hata stahiki zangu zilizo kisheria imekuwa shida kizipata.sawa ni haki yako lakini usisingizie mshahara.saa hizi ulitakiwa uwe ofisini uwe ofisini,saa 1.30 asubuhi uanze kazi lakini unahangaika humu,nani atakupandisha mshahara
mpe lissu kura yako uone kama atakusaidiaTumeteseka kwa miaka 5 kura yangu ni kwa Lissu tu, hata stahiki zangu zilizo kisheria imekuwa shida kizipata.
Taasisi ziko huru, zinapofanya vizuri always no changamoto but wanapoleta taharuki shida inakuwa kubwa ndo hapo anapoweza hitaji kupata briefing kutoka kwa Waziri au KM. Siyo kila kitu Lazmi ajue. Kinapoleta taharuki as now baba ndo anaibuka kuonyesha uwepo wakeMagufuli hana mawasiliano na taasisi za serikali yake?