mbudunge JF-Expert Member Jul 7, 2015 1,735 1,085 Jun 11, 2020 #41 Magufuli anapingwa sana na vijana wa bwana konyagi "hahahaha mambo mazuri yote hayaonekani
Kijukuu cha ngoyayi JF-Expert Member Oct 27, 2018 738 1,584 Jun 11, 2020 #42 Kazi nzuri anafanya tatizo ni mbabe sana kuna vitu vinatatuliwa kwa akili ila yeye ni full nguvu tu
Majan JF-Expert Member Jul 2, 2015 1,165 1,515 Jun 11, 2020 #43 Elungata said: Pikipiki inapita chocho zote,,mbadala wake labda wapewe V8 Click to expand... Hivi zile TOYOTA HILUX haziwezi kuwafaha kweli hawa ndugu zetu. alaf ivi zinasimama bei gani kwa anaefahmu wadau
Elungata said: Pikipiki inapita chocho zote,,mbadala wake labda wapewe V8 Click to expand... Hivi zile TOYOTA HILUX haziwezi kuwafaha kweli hawa ndugu zetu. alaf ivi zinasimama bei gani kwa anaefahmu wadau