Naunga mkono hoja, October ni kutekeleza tuu ile unachukua, unaweka...ili kukamilisha taratibu.Mambo safi, Ccm imara chini ya Magufuli
October ni kuteleza tu
Mmebaki na hilo tu kujifariji.Kukiwa na tume huru hamtoboi.
Ni jambo jema!View attachment 1465707View attachment 1465708View attachment 1465709
Mwenyekiti wa Ccm akiongea na baadhi ya wajumbe wa Sekretariet ya Ccm
Mambo safi, Ccm imara chini ya Magufuli
October ni kuteleza tu
Hicho kiti alichoegemea ni cha CCM? Mbona nembo yake siyo ya CCM? Mnafeli Sana watu wa itifaki kuchanganua Zana!View attachment 1465707View attachment 1465708View attachment 1465709
Mwenyekiti wa CCM akiongea na baadhi ya wajumbe wa Sekretariet ya CCM
Mambo safi, CCM imara chini ya Magufuli
October ni kuteleza tu.
..ili kukamilisha taratibu.
P
Mkuu najua unatania tu
Ila unajua hakuna wa kumshinda mwamba wa Africa Magufuli
Naunga mkono hoja, October ni kutekeleza tuu ile unachukua, unaweka...ili kukamilisha taratibu.
P
Ila maskini Chacha Wangwe mlimpoteza kimoja kisa uwenyekiti!
Hayo manguo ya mboga mboga hayavutii, nani aliwashauri hawa wakoloni weusiView attachment 1465707View attachment 1465708View attachment 1465709
Mwenyekiti wa CCM akiongea na baadhi ya wajumbe wa Sekretariet ya CCM
Mambo safi, CCM imara chini ya Magufuli
October ni kuteleza tu.
Kwa hiyo project nyingi za jiwe zinafeli isipokuwa ile ya b saa8Mungu alikuwa upande wa mzee Mangula sumu imedunda
Naunga mkono hoja, October ni kutekeleza tuu ile unachukua, unaweka...ili kukamilisha taratibu.
P
Kidumu Chama TawalaKidumu Chama Cha Mapinduzi...