HuyuRais Magufuli muda wote yupo Tanzania na Wananchi anawatumikia
Labda yule jamaa anayehutubia Facebook ndio anatakiwa aje ajishushe
Huyu ni nani sasa?
Anae taka uraisi kupitia mitandaoHuyu ni nani sasa?
Thread closedKitu ambacho hujajua wewe mleta mada ni kuwa raisi alikwenda kwenye shughuli yake binafsi. Na kitu kingine hakutaka kuweka attention ya watu ndio maana wengi mmejua kuwa kachukua fomu baada ya taarifa kutolewa na vyombo rasmi vya CCM. Halafu kusema kuwa kavunja sheria za barabarani si sawa, barabara inaweza kutumika kivyovyote inategemea na mahitaji ya wakati huo. Halafu hizo gari zimembeba mkuu wa nchi, kiprotokali mkuu wa nchi hawezi kukaa kwenye foleni, si kwa sababu ya heshima bali kwa sababu ya usalama wake.
Hii sasa inabidi Mwanasheria Mkuu Serikali abebe jukumu baada ya sheria ya kinga ya viongozi kutoshitakiwa kupitishwa. Zamani angeweza kushitakiwa kama John Pombe Joseph Magufuli
Mkuu umeandika vizuri sana. Nimelike lakini nimeona haitoshi mpk niandike kwa manenoKitu ambacho hujajua wewe mleta mada ni kuwa raisi alikwenda kwenye shughuli yake binafsi. Na kitu kingine hakutaka kuweka attention ya watu ndio maana wengi mmejua kuwa kachukua fomu baada ya taarifa kutolewa na vyombo rasmi vya CCM. Halafu kusema kuwa kavunja sheria za barabarani si sawa, barabara inaweza kutumika kivyovyote inategemea na mahitaji ya wakati huo. Halafu hizo gari zimembeba mkuu wa nchi, kiprotokali mkuu wa nchi hawezi kukaa kwenye foleni, si kwa sababu ya heshima bali kwa sababu ya usalama wake.