Dodoma: Nimesikia kuna tembo wanazurura mitaani usiku huu. Je, ni kweli?

Nipo nzuguni hapa mtoa taarifa labda useme Nzuguni ili ingawa miaka ya 80/90s tembo walikuwa wengi maeneo ya Kisasa, Nalawanda, maeneo ya Udom kwa Sasa so no way Hawa wanyama wanatembea kwa Koo hata ipite miaka 1000 Kama Koo yao ilipita eneo Fulani lazima vitukuu wapite miaka ijayo
 
Ni kwel mkuu, hii itakua Mara ya pili, kuna kipindi nilisikia walipita kule maeno ya karibia na UDOM
Wewe haujawaona sasa hii "Ni kweli mkuu..." inatokea wapi! Tuambie mtaa unaoishi wamepita saa napi na ni wangapi, usiwe uko Ipagala umewaona wanapita Singida Road!
 
Nipo gheto nimelala ila nasikia taharuki huko nje mitaa ya Nanenane Nzuguni huku kuna tembo nasikia wanazurura usiku huu na wameshaua mtu/watu (sina uhakika) maana sijatoka nje. Kuna mtu kanipigia simu kunipa info.

Mlio na taarifa mtujuze
Hii ni kweli mkuu.
Mimi nilikuwa shamba huku Dom manda halafu kwa mbele wanapaita mwisho wa dodoma

Huku ni kawaida kumuona tembo akipita siku nyingine nyati kwa mbali ,fisi ndo usiseme...mbuzi za watu zinatafunwa sana.

Halafu huku ni vibanda tu nyumba chache
Siku moja usiku nmellala kwenye kibanda changu cha miti ghafla nikakurupuka .!
Kuchungulia nje namuona tembo Huyo anapita karibu kabisa na kibanda ..!
Mkubwa hana mfano ..!


Nikawasimulia wenyeji kesho wakanambia "una bahati sana alikuwa akipush kibanda hicho ukitokeza umekwisha "

Shamba langu lilipo ni mbele yake ukivuka korongo unaingia hifadhi ya wanyama .( pori halitambuliki na serikali)

Halafu baada ya hilo poli ni unaingia iringa..

Kweli tembo wapo na wanaua sana watu na kuharibu mazao pia kuangusha miti mikubwa mikubwa..

Huku gari halifiki ni pikipiki tu unafika kwa 15k.
MTU unakaa kwenye pikipiki mpka unasema "yooh makalio yangu"
Ndo nmerudi juzi baada ya kupanda
 
Wewe haujawaona sasa hii "Ni kweli mkuu..." inatokea wapi! Tuambie mtaa unaoishi wamepita saa napi na ni wangapi, usiwe uko Ipagala umewaona wanapita Singida Road!
Sisi tuliopo Dom ndo tunajua .
Tembo wapo Dom maeneno mengi soma comment yangu hapo chini nmeeleza kwa kirefu.

UDOM huwa tembo wanapita kila mwishoni mwa mwaka kwenda kutafuta malisho na hutowafanya kitu .
 
Nipo gheto nimelala ila nasikia taharuki huko nje mitaa ya Nanenane Nzuguni huku kuna tembo nasikia wanazurura usiku huu na wameshaua mtu/watu (sina uhakika) maana sijatoka nje. Kuna mtu kanipigia simu kunipa info.

Mlio na taarifa mtujuze
Duh poleni sana wana dodoma.

Huenda ni maadamano ya wanyama pori kupinga kutokurudishwa kwa Kigwangala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom