milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 631
Nawasalimu wafanyabiashara!
Nipo dodoma mjini. nahitaji mayai ya kuku wa kisasa minimum trei 40 kwa wiki.
Anayejua supplier au yeyote ninapoweza kuyapata mayai hayo anicheki tuwasiliane.
Suala la bei ni makubaliano kati ya mimi mnunuaji na muuzaji.
Nipo dodoma mjini. nahitaji mayai ya kuku wa kisasa minimum trei 40 kwa wiki.
Anayejua supplier au yeyote ninapoweza kuyapata mayai hayo anicheki tuwasiliane.
Suala la bei ni makubaliano kati ya mimi mnunuaji na muuzaji.