Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Haya mambo siyo yakuyafumbia macho kwasababu ya nazaa tabaka lenye chuki na inaweza kuja siku moja ikatokea kulipiza kisasi nda ndiyo nchi itaingia katika machafuko haswa Chama Tawala kinawajibu wakulinda amani ya nchi hii Upinzani siuadui na hakuna mwenye hili taifa, taifa ni letu sote hakuna wakujiona yeye ndo mstahiki katika hii nchi. Kama wasipofanyia kazi haya makundi ya utekaji ,kupiga watu risasi basi ipo siku hapa tanzania mtakuja kunikumbuka!Kwa haya ninayoandika
 
Ningekuwa mimi ni Lissu au Mbowe, ningeachana kabisa na siasa za nchi hii. Lissu ni advocate na lawyer mzuri sana na mzoefu, akienda nchi za nje hawezikosa kazi nzuri. Hii nchi SI salama tena kwa vyama vya upinzani na mashindano ya hoja. Kwa sasa ni risasi tu. Sasa utaona kama kuna watakaokamatwa kwenye hiyo inshu. Hata upelelezi hautafanyika. Inaskitisha sana!
 
Lakini kwa nijuavyo mimi tangu kushambuliwa kwa lisu ni lazima chama kilijipanga kwa kuongeza ulinzi hasa kwa viongozi wakubwa kama mwenyekiti.....najiuliza tu walinzi wa mheshimiwa walikuwa wapi??
 
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
 
John Kennedy alivyokuwa assassinated hakuwa na walinzi ?
Jf Kennedy hakupigwa km mbowe alidunguliwa na sniper aliyekuwa juu ya ghorofa isingewezekana hata kidogo jfk kuvamiwa na kupigwa kwasababu ya ulinzi mzito aliokuwa nao mbowe alivamiwa na watu 3 wakampa kichapo that means walimshussha kutoka kwenye gari wakampa kelbu za maana swali ni je dereva wake alikuwa wapi? Walinzi wake je? Na inawezekana VP mbowe kutembea bila walinzi usiku wa manani?
 
Jf Kennedy hakupigwa km mbowe alidunguliwa na sniper aliyekuwa juu ya ghorofa isingewezekana hata kidogo jfk kuvamiwa na kupigwa kwasababu ya ulinzi mzito aliokuwa nao mbowe alivamiwa na watu 3 wakampa kichapo that means walimshussha kutoka kwenye gari wakampa kelbu za maana swali ni je dereva wake alikuwa wapi? Walinzi wake je? Na inawezekana VP mbowe kutembea bila walinzi usiku wa manani?
Akikujibu nitag
 
Kama wangekuwa wabaya wake mbona hawakumuuwa sasa?

Hii ni planed mission tena ili kuichafua serikali,
Mbinu kama ile ya tundu, risasi kutokea kushoto halafu dereva anatoka salama bila hata kovu, kisha anatorokea nje ya nchi mpaka leo eti anatibiwa kisaikolojia.

Chadema hamshituki muache huu mtindo?

Wangwe alipangiwa Deus mallya kisha leo deus mnaye humohumo ndani
 
Huyo Mbowe itakuwa kapigwa na wenzake tu wa CHADEMA baada ya kuonekana ku base upande mmoja wa Mgombea kutoka Chama Chake!!!
Huna akili
IMG_20200609_100315.jpg
 
Chadema ni wapuuzi sana baada ya issue ya corona kubuma mmeanza mchezo wenu wa kujiteka,washenzi sana nyie,mtashindwa tu
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
 
"Hakuwa na walinzi maana waliondolewa kipindi cha sakata la Corona, sasa wakati anapanda ngazi wakashuka watu watatu wakamuambia wewe unaisumbua sana Serikali, sisi hatuna mpango wa kukuua ila tunataka tukuvunje ili ushindwe kufanya kampeni"
View attachment 1472942

Chanzo:EastAfricaRadio tweet
Ona huu ujinga mwingine! Yani mtu unatembea mpaka usiku wa manane alafu huna walinzi kisa korona? Huko anakozungukia hakuna korona?

Chadema ni fungu la kukosa

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Sioni hoja yako ni ipi hapa, tatizo ni kutembea usiku au tatizo ni usalama mdogo wa viongozi wa upinzani? Maana kama tatizo ni kutembea usiku, Lisu yeye alishambuliwa mchana kweupe.

Na kama suala ni viongozi wa upinzani kuhitaji ulinzi kwa ajili ya usalama wao, basi Lisu ameomba zaidi ya mara moja ahakikishiwe usalama wake, lakini hakuna aliye tayari kumpa huo ulinzi. Wakati mwingine ndugu jiepushe na kutetea uovu, kwa sababu za kuungaunga.
Kwani chadema si wana redbrigade? Wako wapi? Na kazi yao ni nini? Km wanashindwa kuwalinda viongozi wao? Unaanzaje kuomba ulinzi kwa watu unaodai hawakupendi na wanataka wakuue? Wakati unaomba huo ulinzi kwanini usijihami kwanza mwenyewe kuliko kusubiri?
 
Tanzania’s leader of opposition in parliament attacked, beaten up, injured
9th June 2020
A group of unknown people have assailed, beaten up and injured the Leader of Opposition in Parliament in Tanzania, Freeman Mbowe, at his residence in Area D, Dodoma.

According to preliminary reports from Dodoma, Mbowe met his assailants on the steps of his flat this night, June 7, 2020., shortly before entering his residence.

“He didn’t manage to enter. They dragged him, threw him to the ground, and beat him up severely, warning him against criticising the president. Before neighbours came to his rescue, the damage has been done. He is in severe pain. One his legs has been badly twisted, and he fears it is broken,” a family source told SAUTI KUBWA. He was rushed to Benjamin William Mkapa Hospital.

Mbowe and other Members of Parliament are attending a parliamentary budget session in Dodoma City, two months before this year’s general election.

Under President Magufuli, Tanzania has been characterised by brutal and demagogic politics since he came to power in 2015. In September 2017, the opposition chief whip, Tundu Lissu, miraculously survived an assassination attempt by unknown people who shot at his car and injured him severely at his residence in Dodoma.

Source : Tanzania's leader of opposition in parliament attacked, beaten up, injured - Sauti Kubwa
Until we wake up and fight the fascist who is pretending to lead the country but infact leading a gang of lunatics. The fascist has now turned down the intelligency apparatus who were trained and groomed through Tanzania's tax payers sweat into brutal demonic gangs. Tanzanians should rise up now it is time to fight. I know no single person shall be arrested on this. It is time to doubt all the security system now. It is time to secure ourselves walk prudently have your weapon handy always.
 
Kwaio Mbowe Kaka nyangwa Mpaka kavunjika mguu na mkono alikua amekaa style gani Mana inaonesha wazi hakua amelala chali Wala kulalia tumbo Kuna stail alikua amekaa MTUSAIDIE jaman

Amekanyagwa vipi


Tusilete siasa kwenye Aman ya nchi tuelezen kwa undan ili tupime hoja Kama Kuna mkono wa mtu Basi Sheria ifate mkondo wake

Kila mtu apewe haki yake Tundulisu ameahid kuongea baadae juu ya swala la Mbowe
 
Hakuna kitu hapo ni kiki tu
Yaleyale ya Lisu , kapigwa kushoto kavimba kulia!
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
 
Back
Top Bottom