Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,959
- 3,591
Wewe kuamka kwako una nini cha kufanya??Hii sasa na iwe ni kengere tosha kuwa sasa watanzania tuamke kumekucha tuwache kusinzia na tujue kuwa tukimchekea nyani tutavuna mabua.
Wewe kuamka kwako una nini cha kufanya??Hii sasa na iwe ni kengere tosha kuwa sasa watanzania tuamke kumekucha tuwache kusinzia na tujue kuwa tukimchekea nyani tutavuna mabua.
OK Mungu akusamehe.Wameanza ile Mbinu yao ya kujiteka kutafuta huruma ya Wapiga kura. Uzuri tuliokuwa Chadema tunaifahamu hii mbinu ya kutafuta kiki za kisiasa. Mbowe amejiteka. Acheni ujinga wenu wa kuyasumbua masikio yetu.
Na endeleeni kujiombea kujiteka, One day Alshab babu watawafanyia kweli mbwea nyie ambao hamjui madhara ya hiyo mbinu ya kisenge
Siku chache kabla ya tukio.Kwa hili tukio la kushambuliwa kwa mbowe tusiilaumu tuu serikali bali tulitizame kwa mitazamo kama 2 au mitatu hivi.
(1)inawezekana kweli serikali inajua au laa hasha haijui (hapa kama haihusiki au kujua ijitokeze wakanushe ili kututoa tongoto.
(2)inawezekana serikali haijui ila huku huko serikalini kuna kundi linataka au limeamua kumwekea doa mh rais hasa hasa kipindi hichi tunakokaribia uchaguzi ambalo hili kundi liko humo humo ila halimkubali limeamua kama mbwai na iwe mbwai kumkomoa.
(3)inawezekana huu ni mpango umepangwa baada ya upinzani kutangaza nafasi ya urais iko wazi na aliekuwa mbunge wa Singida Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea,wametengeneza tukio hili ili huko aliko kwa kuwa yuko nje ili asije aone bado usalama wake utakuwa mashakani kama akija, hivi vyote vinawezekana kwa mtizamo wangu tusiilaumu tuu serikali tuache vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi itajulikana tuu kama serikali haihusiki.
Kwa mfano wewe ungekua una chama chako kinataka kushika madaraka.. ungekuja na mbinu gani..??Hao wanaoning´inia hapo ni walinzi toka Chadema, sio serikali, na yeye ndo mkuu Chadema, kwanini aliwaondoa? Kama anakaa ndani ya gari na dereva wakati wa korona, hao waliokuwa wananing´inia nje ya gari walishindwaje kuwepo?
Alafu kweli Serikali hii imuhofie Mbowe kufanya kampeni????
YAANI HII SERIKALI IKIAMUA KUSHINDA UCHAGUZI, Kampeni za Mbowe zinawahusu nini?
Maana kama ubabe ni wababe kweli, hata tukisema upinzani umeshinda, tume gani itakayowatangaza???
Hivi kwanini Chadema hawataki kukua?? Wanakera sana kwa kweli. Yaani kabisa wameshindwa mpaka leo kumsoma Mkulu na kumbunia mbinu za kupambana naye?
Au KUB anatafuta sababu ya kutohojiwa na TAKUKURU??
Hawa jamaa wameshaona kuwa Chadema inaelekea kuwatoa kamasi sasa wameamua kumwaga damu.Ndio hayo yaliopangwa.View attachment 1472937
Hili bao bora lingeenda chooni tu, siyo kwa utopolo huu.Huyo Mbowe itakuwa kapigwa na wenzake tu wa CHADEMA baada ya kuonekana ku base upande mmoja wa Mgombea kutoka Chama Chake!!!
Chadema ni wapuuzi sana baada ya issue ya corona kubuma mmeanza mchezo wenu wa kujiteka,washenzi sana nyie,mtashindwa tu
View attachment 1472626
View attachment 1472650
Salaam,
Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza.
Tukio hili limetokea majira ya saa 6-7 usiku.
Mhe. Mbowe amekimbizwa Hospitali ya Ntyuka iliyopo jijini Dodoma.
Kamanda Muroto amesema wamepata taarifa kuwa kavunjwa mguu wa kulia na amelazwa Wodi namba 4 hospitalini hapo. Amesema taarifa zaidi zitafuata
MAONI YANGU:
Mhe. Mbowe kuvamiwa na kupigwa eneo la Area D, jijini Dodoma, Mtaa wa Sengia; linalotajwa kuwa na ulinzi wa kutosha, kama ilivyotokea kwa Lissu kunaacha maswali mengi, je, hili linaweza kuwa limechochewa na Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa JMT October 2020? Ni hasira au kitu gani? No one knows.
Bado najiuliza; hivi kama Taifa kwa tabia hizi za kihuni tunaelekea wapi? Hawa wanaojichukulia sheria mikononi kila siku wanafanya hivyo kwa kutumwa na nani? Matendo haya yataendelea kwa viongozi wa upinzani mpaka lini?
We need to wake up, better late than never.
Hayo matendo ujirudia kila panapo uchaHuyo Mbowe itakuwa kapigwa na wenzake tu wa CHADEMA baada ya kuonekana ku base upande mmoja wa Mgombea kutoka Chama Chake!!!
Inasemekana ni mtu 3 tuu imemburuza ina maana alikuwa peke yake?na kama alikuwa peke yake mda huo bado kuna wasiwasi na kama alichelewa kurudi kazini lazma mlinzi alikuwepo.mbona sijasikia lolote kuhusu mlinzi.
Acha uongo, hakuna neno la kitaalamu linaitea "third part"
Mmefanya haya ili kuzima mjadala wa tundu lissu, stupid idea!
Kuna mtu ndio aliandika huo ujinga nami nikamuuulizaNilikuwa natafuta kauli yako mkuu. Hujawahi kuniangusha. Big up.
Nimeshangaa, kwa hali ya Mbowe apigwe makofi, how comes?
Hili ndilo jibu kwetu na chadema"Hakuwa na walinzi maana waliondolewa kipindi cha sakata la Corona, sasa wakati anapanda ngazi wakashuka watu watatu wakamuambia wewe unaisumbua sana Serikali, sisi hatuna mpango wa kukuua ila tunataka tukuvunje ili ushindwe kufanya kampeni"
View attachment 1472942
Chanzo:EastAfricaRadio tweet