Misri, Libya, Afrika kusini nk...Akome! Katoka familia masikini kabisa, badala ya asome aje asaidie familia yake yeye anaendekeza ujinga wa maandamano?
Wapi afrika hii akaona maandakano yakazaa matunda?
Akome.
kweli ina mkono mrefu.....mkono mrefu maana yake ni mwizi ndio maana ikapigwa 1.5 trionKwel serikal ina mkono mrefu
WHYPicha nashindwa kuipandisha
Mungu anaupendeleo lakin ktk maufisadi ccm anawabariki balaaVizuri kabsa....Nilijua tu DOGO atakamatwa ALIJIEXPOSE MNO
Akamuite MANGE aje amsaidie....Kila siku nasema haya MAANDAMANO yanayoitishwa na MWANAMKE MCHAFU kama KIMAMBI(yeye kufikisha UJUMBE ni kutoa matusi makali), kamwe MWENYEZI MUNGU Hawezi ruhusu huu upuuzi kufanikiwa nKUPITIA HILI JIKE LA AJABU...Basi ATLEAST muuitisha maandamno tungekuwa nae hapa nchini KIDOGO tungeona UZITO wake na tungeamini kweli ana uchungu na TAIFA hili...
Umeandika point sana mkuu..na mimi nakubaliana na wewe kabisa. Huyu mwanamke mchafu anasababisha vijana wetu wanapata matatizo wakati yeye anakula bata huko Los Angels.Vizuri kabsa....Akamuite MANGE aje amsaidie....Kila siku nasema haya MAANDAMANO yanayoitishwa na MWANAMKE MCHAFU kama KIMAMBI(yeye kufikisha UJUMBE ni kutoa matusi makali), kamwe MWENYEZI MUNGU Hawezi ruhusu huu upuuzi kufanikiwa nKUPITIA HILI JIKE LA AJABU...Basi ATLEAST muuitisha maandamno tungekuwa nae hapa nchini KIDOGO tungeona UZITO wake
Burkinafaso, Trillion 1.5 zitarudi tuAkome! Katoka familia masikini kabisa, badala ya asome aje asaidie familia yake yeye anaendekeza ujinga wa maandamano?
Wapi afrika hii akaona maandakano yakazaa matunda?
Akome.
Safi sana, sasa tusubiri tuone kama huyo Mange atakuja kuwasaidia hao vilaza wenzake wanaokamatwa na Polisi. Ni ujinga wa kiwango cha lami kumshabikia mtu ambaye anaitisha maandamano wakati yeye anaishi Marekani.Hivi punde maafisa wa Polisi (Isagana) wamemweka nguvuni mwanafunzi wa UDOM aliyepostiwa na Mange Kimambi akisapoti maandamano.