jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
"Ccm imepoteza dira na mwelekeo"
RIP Kolimba.
"Ccm imepoteza dira na mwelekeo"
Sidhani aisee,yupo alomzidi.NDUGAI NI SPIKA DHAIFU SANA ALIYEWAHI KUTOKEA TANZANIA ZAIDI YA MAMA MAKINDA
Sababu za nini?!Lengo lao ni kumtafutia sababu huyo CAG
Wamemkosaje wakati vielelezo vinachunguzwa?!
Kwani kwenye kamati kuna mwenye akili zaidi ya CAG Assad?
Kuna tofauti kati ya mlalamikaji na mleta shauri!
Wa vielelezo!