MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Maccm siyo ya kuyaamini yanataka kumkolimba
Mkuu, kweli wewe una mapenzi ya dhatiLissu ni Mtume
Hahahaa....... Umenikumbusha Komu na Kubenea!Maccm siyo ya kuyaamini yanataka kumkolimba
SirikaliKupiga picha za kumbukumbu ni jambo jema,inawezekana wasije wakakutana naye kwenye vikao vya style hii ya kuitwa kwa vitisho,haya picha limeishaje kati ya CAG na hiyo kamati ya maadili?
Nalog off
Kupiga picha na mtu imekua big issue mpaka uje ufungue uzi?Habari hizi nimepenyezewa na mbunge mmoja kutoka mikoa ya kusini mwa Tanzania.
Inasemekana wabunge kwa mapenzi yao wameomba kupiga picha na alhaj Prof Assad kwa kile walichokiita kuwa mashahidi wa historia ya bunge kwa vizazi vijavyo.
Mbunge huyu ananijuza kuwa hata wajumbe wa kamati ya maadili ya bunge wametamani kupiga picha na CAG wakidai kuwa ni jambo jema na la kawaida kabisa katika kuimarisha mahusiano.
Nimejiuliza tu kama hata mwandishi nguli hapa nchini Pascal Mayalla alipoitwa na kamati wabunge walimsubiri wapige naye picha.
Ni hayo tu kwa uchache
Maendeleo hayana vyama!
Nenda wewe kapige nao picha uone kama kuna mtu atazungumzia achilia mbali kufungua thread!
Sasa kupiga picha na paskali si kujitia nuksi maishani. wewe na kizazi chako.Habari hizi nimepenyezewa na mbunge mmoja kutoka mikoa ya kusini mwa Tanzania.
Inasemekana wabunge kwa mapenzi yao wameomba kupiga picha na alhaj Prof Assad kwa kile walichokiita kuwa mashahidi wa historia ya bunge kwa vizazi vijavyo.
Mbunge huyu ananijuza kuwa hata wajumbe wa kamati ya maadili ya bunge wametamani kupiga picha na CAG wakidai kuwa ni jambo jema na la kawaida kabisa katika kuimarisha mahusiano.
Nimejiuliza tu kama hata mwandishi nguli hapa nchini Pascal Mayalla alipoitwa na kamati wabunge walimsubiri wapige naye picha.
Ni hayo tu kwa uchache
Maendeleo hayana vyama!
Naona CAG chupa za maji kaziweka mbali kabisa!
R.I.P Mzee KOLIMBA
Hawakawii kukuKolimbaNaona CAG chupa za maji kaziweka mbali kabisa!
Dah..
Naona jamaa katumia hekima sana kwenda.
Cha ajabu eti taarifa zinasema sio Spika aliyemuita, ila ni kamati ya maadili iliyomuagiza Spika amuite kuhojiwa.
Kinachofuata hapo jamaa ni kuibuka mshindi tu, halafu soon Jiwe anaitisha shughuli ya kitaifa anamualika Assad na kumsifia mambo yanakwisha.
Ndugai ajiangalie sana.
Jiwe si mwanasiasa.
Atamharibia sana political carrier yake, na baadaye Ndugai ataonekana kama Spika aliyevurunda Tanzania.
Nani jamaa yako humu we naye??Ajiangalie nini? Unajua nyie jamaa zangu tatizo lenu shule finyu.Uliambiwa Ndugai ndiye mwenyekiti wa kamati ?