Dodoma: Mussa Assad(CAG), ahojiwa na Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge, ripoti kukabidhiwa kwa Spika..

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof Mussa Asad amewasili bungeni, Dodoma kuitikia wito wa kufika katika kamati ya maadili

CAG tayari kwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge kuhusu madai ya kudhalilisha Bunge, inadaiwa alisema bunge ni dhaifu.

UPDATES:

View attachment 1000982
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Assad akiwa tayari amefika mbele ya Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge Muda huu mjini Dodoma kuhojiwa kufuatia kauli za kudhalilisha Bunge akiwa ziarani nchini Marekani.
Niwakati mwafaka wa kuelezea udhaifu wa Bunge mbele ya Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge
 
Uzuri ni kwamba kila akiitwa CAG kuhojiwa mambo ndio hutibuka zaidi kwa wale waliofichwa fichwa kwenye zile scandal zetu za escrow
 
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof Mussa Asad amewasili bungeni, Dodoma kuitikia wito wa kufika katika kamati ya maadili

CAG tayari kwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge kuhusu madai ya kudhalilisha Bunge, inadaiwa alisema bunge ni dhaifu.

UPDATES:

View attachment 1000982
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Assad akiwa tayari amefika mbele ya Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge Muda huu mjini Dodoma kuhojiwa kufuatia kauli za kudhalilisha Bunge akiwa ziarani nchini Marekani.
Safi sana Komredi alhaj Prof Assad........ Mwaga madini mkuu wangu!

Ili nchi iendelee inahitaji Watu siyo binadamu na wewe ni mmoja wa watu wachache sana tuliopo Tanzania.

Maendeleo hayana vyama!
 
Nadhani wamemuita ili waje wapige tu story mbili tatu lakini sio kujadili kitu ambacho ni uhalisia wa Bunge letu lisilo na mbele wala nyuma.


Kabla ya Mazungumzo inabidi Job amwombe radhi kwa kumdhalilisha Assad kwa ile kauli " tunakuomba ufike kwenye kamati ya maadili ya bunge tarehe 21 au utaletwa kwa Pingu ?

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
Dah..
Naona jamaa katumia hekima sana kwenda.

Cha ajabu eti taarifa zinasema sio Spika aliyemuita, ila ni kamati ya maadili iliyomuagiza Spika amuite kuhojiwa.
Kinachofuata hapo jamaa ni kuibuka mshindi tu, halafu soon Jiwe anaitisha shughuli ya kitaifa anamualika Assad na kumsifia mambo yanakwisha.

Ndugai ajiangalie sana.
Jiwe si mwanasiasa.
Atamharibia sana political carrier yake, na baadaye Ndugai ataonekana kama Spika aliyevurunda Tanzania.
Mpaka sasa ndie spika alivurunda hilo halina ubishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom