SawaMbunge wa Makambako, Deo Sanga amependekeza Rais John Magufuli awe rais wa maisha kutokana na uchapakazi wake, wakati akichangia mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee kwa mwaka wa fedha 2018/2019, jana.
=======
Ametoa wazo hilo huku akifananisha nchi ya China kumfanya rais wao kuwa rais wa maisha kutokana na kazi nzuri alizofanya. Na kwamba Rais Magufuli kwa kipindi cha miaka miwili aliyokaa madarakani amefanya mambo mengi mazuri hivyo anastahili kuwa rais wa maisha.
Nadhani huelewi unachosema.Hata kama wewe wa Koromije usisapport kila jamboyamindinda
Naunga mkono hoja, kama ikishindikana angalau miaka 15-20 abakie kuwa Raisi wetu!
Huyo hata kuandika jina lake haweziMbunge wa Makambako, Deo Sanga amependekeza Rais John Magufuli awe rais wa maisha kutokana na uchapakazi wake, wakati akichangia mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee kwa mwaka wa fedha 2018/2019, jana.
=======
Ametoa wazo hilo huku akifananisha nchi ya China kumfanya rais wao kuwa rais wa maisha kutokana na kazi nzuri alizofanya. Na kwamba Rais Magufuli kwa kipindi cha miaka miwili aliyokaa madarakani amefanya mambo mengi mazuri hivyo anastahili kuwa rais wa maisha.
Hata kuandika jina lake hawezi na hao ndio mtaji mkubwa wa ccmHuyu Mbuge aliishia darasa la 3, sinshangai uwezo wake wa kufikiri. Kinachombeba ni utajiri wa Kikinga wa Makambako
Utarudi kwenu Rwanda weweNaunga mkono hoja 100%
1.5trameiba mihela ipi???
deo sanga ana elelwa nini huyo darasa la saba hata kuongea tu huwa ni shida hahaaaaa JAH PEOPLE
Siyp darasa la 4. Aliishia darasa la pili. Hata jonanlake tu huwa anaandikankwa shoda sana.