yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amependekeza Rais John Magufuli awe rais wa maisha kutokana na uchapakazi wake, wakati akichangia mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee kwa mwaka wa fedha 2018/2019, jana.
=======
Ametoa wazo hilo huku akifananisha nchi ya China kumfanya rais wao kuwa rais wa maisha kutokana na kazi nzuri alizofanya. Na kwamba Rais Magufuli kwa kipindi cha miaka miwili aliyokaa madarakani amefanya mambo mengi mazuri hivyo anastahili kuwa rais wa maisha.
=======
Ametoa wazo hilo huku akifananisha nchi ya China kumfanya rais wao kuwa rais wa maisha kutokana na kazi nzuri alizofanya. Na kwamba Rais Magufuli kwa kipindi cha miaka miwili aliyokaa madarakani amefanya mambo mengi mazuri hivyo anastahili kuwa rais wa maisha.