NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Habari wadau,kumekuwa na harufu katika maji ya bomba inayo fanana na harufu ya Bleach kwa takribani wiki 2 sasa katika mji wa Dodoma kwa wale tunao tengeneza dawa ya madoa au batiki mtakuwa mnajua harufu ya bleach ilivyo.Naomba watu wa DUWASA kama mpo humu mnijibu harufu iliyo katika maji ya bomba ni ya aina gani ya dawa?Ahsante