BeiAkueleze ninkm ngapi toka barabara kuu.kama huko Bandari kavu Ni km 11 toka barabara ya Dom- Dar au Dom -Singida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BeiAkueleze ninkm ngapi toka barabara kuu.kama huko Bandari kavu Ni km 11 toka barabara ya Dom- Dar au Dom -Singida
Kuanzia m4-m15.Vpo? Taja bei na sifa ya kiwanja,umeme na maji hizi huduma lazima zipatikane ninai lengo la kuna kujenga huko
We njoo tuu mkuu,usiwe na hofu.Kuna wenzio wanajidai serikali mwaka wa Tatu hawajalipwa. Asiwadanganye Dodoma Hamna kitu. Kwanza Upepo ushabadirika, Nchi ya Mama tunarudi zetu Maji chumvi
Niungu kwenye kampuni yako nifundishe jinsi ya kuomba hizo Tender nipe Mkoa...mimmtamu sana kuongea na Wakuu wa Shule.So lazima iwe Kama yangu, shughuli na biashara zangu nishazisema Sana humu
Ya govt Ni milion 1.7 Hadi M 3 kea plotvya makambuni ndo kuanzia M4 - 6 vya wenyeji hata kea M 2 unapata UKIWA DOM NITAFUTE TUWATOKEE WENYEJI BILA UDALALI MKUU
Nipe mawasilianoYa govt Ni milion 1.7 Hadi M 3 kea plotvya makambuni ndo kuanzia M4 - 6 vya wenyeji hata kea M 2 unapata UKIWA DOM NITAFUTE TUWATOKEE WENYEJI BILA UDALALI MKUU
Tuma namba yako PMNipe mawasiliano
KAKUDANGANYA NANI??TUNAJENGA CHAMWINO NA MAHOMA BWANAMaujenzi ya magufuli yamekugawisha, hatujengi tena mkuuu
Laki tisa?? Hyo Ni bill ya mtu mmoja hapa dar yaani hivo ni vitu umeuza kwa mtu mmoja.wakija 20 tu je??kuna jamaa angu anafanya issue za kuuza electronics barabara ya 11 (kama sijakosea) niliona anafaida ya mil 1 mwezi uliopita.....
Sema Dodoma ni kugumu sana, ni vile kils mtu na bahati yake... ila uwepo wa pubs hata wauza bisi wanalaza 30-40 hii nilishuhudia kule karibu na alfa supermarket kama unaenda kisasa kuna kapub pesa nje nje yule mchaga nahisi anauza hadi laki 9 kwa siku.
SpeakerMotivational..
Mtafute swahiba wako Madame B
Mwenyeji nipo mkuu karibu sana
Asante mkuu nakuja pmMwenyeji nipo mkuu karibu sana