Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,240
- 3,931
Jingalao siamini kama una majukumu wewe? Unafurahia press za Musiba zisizohata na chembe ya amani. Unakataa press za kuifanya katiba ilindwekila baada ya siku mbili ni waraka au press conference
Jingalao siamini kama una majukumu wewe? Unafurahia press za Musiba zisizohata na chembe ya amani. Unakataa press za kuifanya katiba ilindwekila baada ya siku mbili ni waraka au press conference
Labda, manaake Mbowe alinukuliwa na yule "Mwanahabari Huru" akisema eti amesoma injili zoote za kwenye Biblia alipokuwa lupango.Wanataka kutoa waraka kama Maaskofu
Changia ufumbuzi nini kifanyike, otherwise mbona na wewe ni wale wale tu. Watanzania wengi wana akili hii hii ya kulalamika. Hata huyo Magufuli naye ni mlalamishi tu.Kiukweli Mbowe kashindwa kuongoza na hafai kazi kulalama vitu visivyo vya msingi. Anaongoza chama kama anaongoza familia yake hahahaaa bila mabadiliko ya kweli ya kiuongozi hii nchi itakosa wakosoaji wa kweli wa serikali wanaopenda maendeleo.
Hata wewe mwenyewe huamini ulichoandika.Chadema ikikohoa nchi inatikisika .
Sasa si waende tena ubalozi wa wazungu wa ulaya, wanangoja nini?Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wameitisha mkutano na waandishi wa habari muda huu mjini Dodoma. Taarifa zaidi ya mkutano huo kukujia...
Utafiti unaonyesha kwamba Chadema ndio chama cha siasa maarufu zaidi kwenye ukanda wa maziwa makuu , ikifuatiwa na chama cha Dr Besigye cha ugandaHata wewe mwenyewe huamini ulichoandika.
Nyaraka zote sasa hivi zinagonga jiwe lisilo sikia wala kuelewa kama hata maaskofu anaotaka wamwombee anawadharau unategemea nini? Hiiii!Wanataka kutoa waraka kama Maaskofu
acheni kejeli mnaona sawa wanavyofanyiwa wenzenu, wakipeleka kesi zao mahakamani hakuna hakimu anayepokea kesi zao watazungushwa wee, baadae mafile yanawekwa kandoSasa si waende tena ubalozi wa wazungu wa ulaya, wanangoja nini?
Kama ana dhamira ya kweli, kuwekwa ndani siyo issue hata kidogo! Kumbe unashabikia huko kwasababu ya uoga wa kwenda jela nk.?mbowe toka awekwe mahabusu ana hasira sana...ameshazoea kula pasaka Dubai safari hii kailia Segerea na wafungwa
Sawa Mzee!Utafiti unaonyesha kwamba Chadema ndio chama cha siasa maarufu zaidi kwenye ukanda wa maziwa makuu , ikifuatiwa na chama cha Dr Besigye cha uganda