Nani?Anachokitafuta atakipata
WeweNani?
Hahahaaaaaa......... Utanipatia?!Wewe
Nina allergy na wana CCMHahahaaaaaa......... Utanipatia?!
Usiogope!Nina allergy na wana CCM
Sawa!Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mwanaharakati huru Cyprian Musiba kwa Mahojiano zaidi dhidi ya Malalamiko yake na tuhuma za kusambaza habari za kutaka kuuliwa kwenye magazeti na baadhi ya wanasiasa bila kuripoti kwenye vyombo vya dola jambo ambalo ni kinyume na Sheria.
Hata yule wa naniliu mashariki!wachukue malalamiko yake serious maana akiumia huyu mzalendo wakati alitoa taarifa mapema wananchi hatuwezi kuwaelewa,. maana hata Wangwe ilikuwa hivihivi