Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,654
- 4,157
MUSIBA KADAKWA NA MUROTO! 😅
kisa?MUSIBA KADAKWA NA MUROTO! 😅
Taarifa za jinai ni mali ya polisi na si vinginevyo! 😅kisa?
Pamoja na mambo mengine
Musiba,amewataja viongozi kadhaa kuhusika na mpango huo wa mauwaji dhidi yake akiwemo Zito Kabwe, Januari Makamba pia mpango huo unahusisha professional assassin mdungiaji wa kimataifa kutoka ujerumani ambae tayari ameshawasili hapa nchini, pia amezihusisha nchi za magharibi kuhusika na mpango huo wa mauaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuhuma kali.lakini kama anayoyasema yapo basi tayari watu wameumbuka vibaya mno na hasa Zitto.
Pamoja na mambo mengine
Musiba,amewataja viongozi kadhaa kuhusika na mpango huo wa mauwaji dhidi yake akiwemo Zito Kabwe, Januari Makamba pia mpango huo unahusisha professional assassin mdungiaji wa kimataifa kutoka ujerumani ambae tayari ameshawasili hapa nchini, pia amezihusisha nchi za magharibi kuhusika na mpango huo wa mauaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee aliemjeruhi Tundu Lissu ameshazuiwa kukanyaga amerika, wewe unaishi wapi, yaani Pompeo anamjua halafu wewe humjui!.Duh...!
Karibia waliomjeruhi Tindu Lisu watajulikana!
Vituko vinaendelea!!
Anachokitafuta atakipataHuyu lofa anapenda kujipaka damu
Tuombe isiwe picha la kihindiMUSIBA KADAKWA NA MUROTO!