Dodoma: Jeshi la Polisi lamuita Cyprian Musiba kwa mahojiano kuhusu tuhuma za kutaka kuuawa

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mwanaharakati huru Cyprian Musiba kwa Mahojiano zaidi dhidi ya Malalamiko yake na tuhuma za kusambaza habari za kutaka kuuliwa kwenye magazeti na baadhi ya wanasiasa bila kuripoti kwenye vyombo vya dola jambo ambalo ni kinyume na Sheria.
hii serikali movies zake ni kama isidingo haziishi kila siku ni kipande kipande
 
Polisi waambiwe Wananchi tumemuombea msamaha wamuachie tu..

Na kama kwa mbinu hii wasipofanikiwa kupoteza hili la Ka flag, hawatofurahi hata kidogo.
 
Mara jeshi la polisi limemuita musiba kwa mahojiano. Mara musiba amemakatwa na jeshi la polisi. Habari sahihi hapa ni ipi? Ama ndio ramli zinaendelea?
 
Nafikiri hiyo post imezidi ukubwa wa IQ yako kuelewa mambo
Unahitaji kula virutubisho kichwa kiko empty
Mkuu umefikisha ujumbe vizuri sana, nasikitika hujaeleweka
Huyu RPC namkubali sana. Yaani mlitaka hadi mtu awe maiti halafu mseme alikuwa anatania?? Huyo atakuwa sio Polisi.

Huwezi linganisha shambulizi la Lisu na mpango mkakati wa kutaka kumuua Musiba.
Lisu hakuwahi kujaribiwa kuuawa ila sasa kama angerudi nadhani ndiyo mngejua kuwa Tz kuna ulinzi imara. Mwambieni arudi tu. Musiba awekewe ulinzi 24/7/52. Hatutaki kumpoteza mtu hata mmoja tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom