Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake
Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.
Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.
Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app