sajumo
JF-Expert Member
- Nov 20, 2013
- 1,830
- 1,047
Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake
Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.
Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake
Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.
Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake
Wanafurahi mchoro.mchoro tu umekuja na vurugu namna hio ukikamilika si utawatovuga watu madole machoni!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali mengine ni yakijinga sana .. hapa dar wanaopanda ndege ni wazaramo ?
Sio mturuki ni kampuni ya Tunisia. Studi International.Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake
Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.
Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangetafuta msaada wa moja kwa moja wa kuwasaidia majority ya wenyeji wa Dodoma.Maswali mengine ni yakijinga sana .. hapa dar wanaopanda ndege ni wazaramo ?
Kuna shida gani wewe umesoma ukifanya kazi dodoma, (mfano) mgogo hajasoma hatumpi, ili pate muamko wa kupeleka wanae shule(Katika kazi za kitaaluma),Na kwenye biashara si ni project nyingi za miundombinu zinafanyika huko sasa watafaidika nazo kwa biashara ndogo ndogo wanazozimudu.. sisi ni watanzania na tanzania ni yetu sote,Wangetafuta msaada wa moja kwa moja wa kuwasaidia majority ya wenyeji wa Dodoma.
Viwanja vya ndege vilivyopo havitoshi kwa 100% lakini at least...so nguvu kubwa ingeenda kwenye mradi mwingine wa kiuchumi wa mkoa huo
Airport bado itawanufaisha zaidi wajao pekee na wengi watakuja kwa Quartery works only.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amelishwa harufu ya pilau .. ajabu na yeye kashibamchoro tu umekuja na vurugu namna hio ukikamilika si utawatovuga watu madole machoni!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Ni msalato runway to mahomanyikaWanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake
Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.
Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555
Sent using Jamii Forums mobile app
vip mbona unashangilia michoroWanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake
Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.
Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege 30 tu kupaki kwa maramoja. Sasa huo uwanja mbona mdogo sana. Tunataka Ndege 200 kupaki kwa maramoja na zaidi ya mbili kiruka na kitua kwa kila dakikaWanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake
Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.
Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni proposed new airport katika jimbo la Bulacan ufilipino.Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake
Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.
Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555
Sent using Jamii Forums mobile app
Watasubiri sana, ccm tumeshika hatamu ya maendeleo.