Dodoma International Airport.. CCM Oyeeee

Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake


Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.

Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555

Sent using Jamii Forums mobile app

Report ya mkurugenzi runway ni km 9, na kama ni ndege thelathini zinapaki mbona viungio vipo kama 45?
 
Kama kweli kitajengwa itakuwa powa sana. Ila sasa kitajengwa lini? Nina mashaka huyu rais akisepa hiki kiwanja kitabaki kwenye picha tu
Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake


Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.

Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake


Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.

Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mturuki ni kampuni ya Tunisia. Studi International.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali mengine ni yakijinga sana .. hapa dar wanaopanda ndege ni wazaramo ?
Wangetafuta msaada wa moja kwa moja wa kuwasaidia majority ya wenyeji wa Dodoma.

Viwanja vya ndege vilivyopo havitoshi kwa 100% lakini at least...so nguvu kubwa ingeenda kwenye mradi mwingine wa kiuchumi wa mkoa huo

Airport bado itawanufaisha zaidi wajao pekee na wengi watakuja kwa Quartery works only.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangetafuta msaada wa moja kwa moja wa kuwasaidia majority ya wenyeji wa Dodoma.

Viwanja vya ndege vilivyopo havitoshi kwa 100% lakini at least...so nguvu kubwa ingeenda kwenye mradi mwingine wa kiuchumi wa mkoa huo

Airport bado itawanufaisha zaidi wajao pekee na wengi watakuja kwa Quartery works only.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna shida gani wewe umesoma ukifanya kazi dodoma, (mfano) mgogo hajasoma hatumpi, ili pate muamko wa kupeleka wanae shule(Katika kazi za kitaaluma),Na kwenye biashara si ni project nyingi za miundombinu zinafanyika huko sasa watafaidika nazo kwa biashara ndogo ndogo wanazozimudu.. sisi ni watanzania na tanzania ni yetu sote,
 
Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake


Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.

Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Ni msalato runway to mahomanyika
 
Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake


Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.

Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555

Sent using Jamii Forums mobile app
vip mbona unashangilia michoro
 
Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake


Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.

Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege 30 tu kupaki kwa maramoja. Sasa huo uwanja mbona mdogo sana. Tunataka Ndege 200 kupaki kwa maramoja na zaidi ya mbili kiruka na kitua kwa kila dakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosema ccm haijui kuplan miradi mikubwa na wakomee kabisa, walegeee. Yule architect mturuki aliye pewa tenda ya kudesign Msalato International Airport kesha maliza kazi yake


Hii ndio miradi tunayo ihitaji Tanzania.. uwanja huu utakua na urefu wa KM 6 (runway).. ndege kama 30 kupaki kwa mara moja.

Ccm oyeee.. chadema mtasubiri sana.View attachment 989555

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni proposed new airport katika jimbo la Bulacan ufilipino.
DOTr to expedite Swiss challenge to the Bulacan airport proposal
 
Back
Top Bottom