Dodoma: Harambee iliyoendeshwa na Dkt. Magufuli yapelekea ukamilishwaji wa msikiti mkubwa

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,781
14,099
Ujenzi wa Msikiti wa Chamwino Mkoani Dodoma ambao Rais Magufuli aliahidi atashirikiana na Wananchi wengine kuujenga na akaanza kwa kuendesha harambee ya ujenzi wake akiwa Kanisani Chamwino, hatimaye umekamilika.

Itakumbukwa Jumapili ya August 23,2020 JPM alihudhuria Misa Takatifu na uzinduzi wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Imakulata,Ikulu Chamwino, Dodoma, ambapo alisema Waislamu pia walichangia ujenzi wa Kanisa hilo na kuwataka na Wakristo kuungana na Waislamu kuchangia ujenzi wa Msikiti Chamwino kupitia harambee aliyoiendesha Kanisani hapo.

JPM alisema "Kwenye michango tuliyochangisha hapa Kanisani kwa ajili ya ujenzi wa Msikiti Chamwino, tumepata jumla ya Tsh.Milioni 48 na Eflu 21, mifuko 48 ya cement na Lori 5 za mchanga, Rostam amechangia Mil 20, Bosa wa CRDB Nsekela Mil 10, pia CAG Kachere, Anthony Mavunde, RC Dodoma ni miongoni mwa waliochangia, sasa Msikiti utajengwa, Mimi nina Wasaidizi wangu wengine Waislamu yupo hai El Haji, wataswali kwenye Msikiti huo"

Twende na JPM 2020-2025

1603475051841.png

345BBE60-B925-4D2F-AD9B-DE44B4F51E68.jpeg

5DE3994C-B07E-495A-99E5-F504136DC7E5.jpeg
FDD735B6-EFEB-43D0-9BA3-27E2A0BFB5B3.jpeg
 
Mtume alifundisha kuwa muumini mmoja ni bora kuliko dunia yote na vilivyomo

Kwetu sisi masheikh wetu wanaozea Jela ni muhimu kuliko msikiti wowote utakaojengwa na Magufuli.

Waislamu hatuna shida ya majengo ya msikiti, kwanza tunaweza kujenga sisi wenyewe pili kwa mujibu wa dini yetu ardhi yote ni kama msikiti inafaa kuswaliwa, kwa hiyo hatuna uhaba na sehemu za kufanyia ibada, kwa hiyo hatudanganyiki!

Sisi tunataka Masheikh wetu wawe huru na pia tusibaguliwe kwenye teuzi na utumishi wa serikali kama tulivyobaguliwa na serikali ya Magufuli!
 
Mtume alifundisha kuwa muumini mmoja ni bora kuliko dunia yote na vilivyomo

Kwetu sisi masheikh wetu wanaozea Jela ni muhimu kuliko msikiti wowote utakaojengwa na Magufuli.

Waislamu hatuna shida ya majengo ya msikiti, kwanza tunaweza kujenga sisi wenyewe pili kwa mujibu wa dini yetu ardhi yote ni kama msikiti inafaa kuswaliwa, kwa hiyo hatuna uhaba na sehemu za kufanyia ibada, kwa hiyo hatudanganyiki!

Sisi tunataka Masheikh wetu wawe huru na pia tusibaguliwe kwenye teuzi na utumishi wa serikali kama tulivyobaguliwa na serikali ya Magufuli!
Twende na JPM mkuu,acha kulia lia
 
Ujenzi wa Msikiti wa Chamwino Mkoani Dodoma ambao Rais Magufuli aliahidi atashirikiana na Wananchi wengine kuujenga na akaanza kwa kuendesha harambee ya ujenzi wake akiwa Kanisani Chamwino, hatimaye umekamilika.

Itakumbukwa Jumapili ya August 23,2020 JPM alihudhuria Misa Takatifu na uzinduzi wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Imakulata,Ikulu Chamwino, Dodoma, ambapo alisema Waislamu pia walichangia ujenzi wa Kanisa hilo na kuwataka na Wakristo kuungana na Waislamu kuchangia ujenzi wa Msikiti Chamwino kupitia harambee aliyoiendesha Kanisani hapo.

JPM alisema "Kwenye michango tuliyochangisha hapa Kanisani kwa ajili ya ujenzi wa Msikiti Chamwino, tumepata jumla ya Tsh.Milioni 48 na Eflu 21, mifuko 48 ya cement na Lori 5 za mchanga, Rostam amechangia Mil 20, Bosa wa CRDB Nsekela Mil 10, pia CAG Kachere, Anthony Mavunde, RC Dodoma ni miongoni mwa waliochangia, sasa Msikiti utajengwa, Mimi nina Wasaidizi wangu wengine Waislamu yupo hai El Haji, wataswali kwenye Msikiti huo"

Twende na JPM 2020-2025
View attachment 1609855
Ni jambo jema!
 
Na mdhehebu mengine ya kikristo mfano Wasabato wanasali jmosi siku ya saba,watachangiwa lini? Vipi walokole na KKKT?? Naona harufi ya ubaguzi madhehebu mengine,
 
Anti pas asingeweza Kufanya hivyo. Wacha Mungu pekee, ndio wanaweza kufanya hutu kama hivyo.
 
Rangi za msikiti zimetawaliwa na rangi rasmi za Vatican, njano na nyeupe...hii inaitwa "Fratelli Tutti" yaani "Sote ni Ndugu"....
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom