Dodoma: Dada wa Kazi amchoma moto boss wake na watoto hadi kifo

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,491
54,884
Huko Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma, mdada wa kazi kawafungia ndani,watoto wa mwenye nyumba kisha kawachoma moto. Inadaiwa sababu ya kufanya hivyo, ni baada ya Mama mwenye nyumba kuwa jeuri na alikuwa akimfokea bila sababu za Msingi kila kila siku.
1789ac4f-ef18-43a4-8160-e896f8c118cc.jpg
 
Huko Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma, mdada wa kazi kawafungia ndani,watoto wa mwenye nyumba kisha kawachoma moto. Inadaiwa sababu ya kufanya hivyo, ni baada ya Mama mwenye nyumba kuwa jeuri na alikuwa akimfokea bila sababu za Msingi kila kila siku.
 
Duuuh hawa ma-starring sinia wa dom wana matatizo gan.. Kuna lile lilifungia watoto likaenda kula kwanja watoto wakafa kwa moto, hili nalo limechoma moto bos na watoto...
R.I.P MAMA HOUSE NA WAJOMBA
 
Hii habari ingekuwa imetoka kwa wajomba pale uarabuni ingekuwa page 16 zimefika
 
Aiseee xjui hawa mahouse girl wamerisishwaa na nani ukatili huu xku hizii duuuh
 
Huko Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma, mdada wa kazi kawafungia ndani,watoto wa mwenye nyumba kisha kawachoma moto. Inadaiwa sababu ya kufanya hivyo, ni baada ya Mama mwenye nyumba kuwa jeuri na alikuwa akimfokea bila sababu za Msingi kila kila siku.
View attachment 367811
kijana mdogo acha utoto wa kutuletea story za kutunga

hizo picha umeokota kutoka kwenye hii thread hapa ukaamua kutunga na story

click here: Uhaba wa mafuta ya taa wasababisha mauaji ya watoto wanne wa familia moja Kongwa Dodoma
 
Back
Top Bottom