Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Kamati zote za Bunge zimesitisha ziara za kikazi hapa nchini na zimeelekezwa kurudi Dodoma ikiwa ni hatua ya kujikinga na ugonjwa wa Corona na Bunge mtandao utatumika katika shughuli za Kamati zikiwa hapa Dodoma"-Spika Ndugai akizungumza na Waandishi Jijini Dodoma.