mzeempili
JF-Expert Member
- Aug 16, 2021
- 327
- 531
Subiri afe....Ukisha kufa imetoka ndg hata wanafunzi wa Yesu waliishia kujifungia chumbani.
Subiri afe....Ukisha kufa imetoka ndg hata wanafunzi wa Yesu waliishia kujifungia chumbani.
Unthinkable.Bunge halina mandate hiyo kwanza and nobody has that mandate either.Sasa hivi atachomwa chanjo Gwajima.
Ndio utulie nyumbani waache wasiogopa fomu wachome. Kwani ulivyopigwa chanjo ya ndui hukuandikishwa?!chanjo gani kuchoma mpaka ujaze fomu, Kwanini zingine hazina fomu na tatizo lingine watalaam tunaowaamini wanatofautiana kuhusu hiyo chanjo.
Jus watch this space!Unthinkable.Bunge halina mandate hiyo kwanza and nobody has that mandate either.
Hasara kufa!Kuna mijitu ni mishabiki maandazi ya chanjo lakini mpaka leo haijachanja ni porojo tu..... tupo more than 60m+ chanjo 1m? Bado utasikia vituo vimejaa wachanjwaji..
Hiyo mosi pili mpaka sasa uchanje usichanje hakuna tofauti... unaambukizwa, unaambukizwa, severe iko palepale and most of vaccinated ndio wanapukutika almost 67% kwa ulaya na us.
Faida za kuchanja sana sana ni kupata visa so far.