MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 295
- 679
RPC Dodoma Gilles Muroto amesema tukio la kuuawa kwa M/Kiti wa BAWACHA Kata ya Palanga Asia Said, aliyechomwa na mshale halihusiani na siasa, bali ni kuwa mume wa marehemu alikuwa na ugomvi na mtuhumiwa aliyefanya mauaji hayo baada ya kuingiza mifugo kwenye shamba lake.