Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
RIP Dada.
Unatatizo kubwa la kutofikiri. Vita yenu ya ndani ya chama unatafuta mchawi nje ya chama! Pathetic.Hii huenda ikawa ni kazi ya watu wasiojulikana na lengo likiwa ni kuanza kutisha watu.
Subiri kuona danadana za uchunguzi wa hili tukio ndio utajua ni kina nani wanahusika.
Maranyingi haki 'imeonekana' ikikiukwa kwa baadhi ya watu kwa watu flani hasa wapinzani, ninachoomba ni kutamalaki kwa utulivu hasa siku zijazo tukielekea kipindi cha uchaguzi na kipindi cha uchaguzi pia."bila kujali haki imetendeka au lah"
Haki ndiyo msingi wa amani,bila hiyo huwezi kupata amani,labda kupata uvumilivu tu...
Ndo uchunguzi ufanyike,wakamatwe na iwekwe wazi akina nani wamemuua,siyo vizuri kama kauawa na chama chake for political issues kama unavyohisi.So unnecessary R.I.P
Hizi siasa za sympathy na kujaribu kuonyesha picha mbaya kwa dunia kipindi cha uchaguzi wont work.
Watanzania wameamka hakuna mtu makini mwenye shida ya kumuua mwenyekiti wa BAWACHA tena wa tarafa asiejulikana for political motive it just doesn’t up.
Either sababu za kifo chake ni nje ya siasa, na kama zinahusiana na siasa basi CDM wenyewe wamefanya au watu wengine wenye nia ya kujaribu kutafuta international attention.
Just plain stupid so unnecessary.
Kitu muhimu kwenye ushahidi wa kesi za ‘grievous bodily harm/murder’ ni motive.Ndo uchunguzi ufanyike,wakamatwe na iwekwe wazi akina nani wamemuua,siyo vizuri kama kauawa na chama chake for political issues kama unavyohisi.
Uchunguzi ufanyike,kwa Mawazo ilitokea,Lissu ikatokea,huko sijui wapi ikatokea,kwanini hao watu wasikamatwe na ukweli ukawekwa hadharani?
Hii ni mbaya.
Bashite mbona hajapigwa mshale alipotoka kwenye kura za maoni!!!!
Mbona hujamtaja Ndugu yetu Mhe. CHACHA WANGWE na muuaji wake Bw. MALYA baada ya kutekeleza huu uovu mmempa cheo hapo hapo CHADEMA. Hili tukio wenye akili wanajua baadhi ya Mauaji wanayafanya CHADEMA wenyewe ili kulinda wadhifa wa Mwenyekiti au Kutafuta Attention/KICK ya Kimataifa kuombea Misaada.Tundu Lissu, Azory Gwanda, Ben Saanane, Mawazo, nao yaweza ikawa sio siasa.
Kura za maoni cdm ziliisha tangu tarehe 17 sasa huyu alikuwa kwenye kura za maoni gani tena kama siyo kakutwa na mume wa mtu kala nchale alale panapomstahili tuMalipo ni kabla ya uchaguzi , dawa ya moto ni moto
hii ni hoja fikirishi inayota mawazo yakinifuMbona hujamtaja Ndugu yetu Mhe. CHACHA WANGWE na muuaji wake Bw. MALYA baada ya kutekeleza huu uovu mmempa cheo hapo hapo CHADEMA. Hili tukio wenye akili wanajua baadhi ya Mauaji wanayafanya CHADEMA wenyewe ili kulinda wadhifa wa Mwenyekiti au Kutafuta Attention/KICK ya Kimataifa kuombea Misaada.