GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,776
R.I.P
Ila magari ya serikali/yaliyobeba wakubwa huwa yanakimbia sana, tena bila kufuata sheria na utaratibu, unakuta kwenye kibao cha 50kms mtu anapita na 120km.
Sasa hapo mtu unabaki unajiuliza
Wapuuzi sana hawa wanawasha taa tu halafu anataka kuwasingizia Marehem. Kweli marehem hana haki..... yaan nimesikiliza maelezo ya huyo dereva nikajaribu kuwaza na uendeshaji wao nikasikitika tu.
Itakua hata kutoa kidogo kupisha basi hakutaka au alishindwa kutokana na mambio