Wakuu ninaangalia kipindi Star TV kinachoonyesha maisha ya watu wa vijijini huko dodoma. Inaumiza sana maana watu wamekata tamaa na maisha maana ardhi imechoka na uzalishaji ni mdogo sana.
Watoto wanaenda shule nusu mwaka wakati kukiwa na chakula tu kikiisha wanaanza kwenda porini kuhemea. shule ndo zinategemewa kuwapa watoto chakula, kikiisha hata shule hawaendi mpka kikija tena ndo wanarejea. Inamaana watoto wanaenda shule kwa sababu ya chakula tu.
Wanawake wanasota maana waume zao wanawakimbia.
Watoto wanaenda shule nusu mwaka wakati kukiwa na chakula tu kikiisha wanaanza kwenda porini kuhemea. shule ndo zinategemewa kuwapa watoto chakula, kikiisha hata shule hawaendi mpka kikija tena ndo wanarejea. Inamaana watoto wanaenda shule kwa sababu ya chakula tu.
Wanawake wanasota maana waume zao wanawakimbia.