doctor saidia hapa please

Billie

JF-Expert Member
Aug 13, 2011
12,720
19,860
Mke wng tangu ajifungue sasa ana miezi 3 hajapata hedhi na nimefanya nae UPT jibu ni negative.Je hili ni tatizo gan?Naomba msaada wa kidaktari plz.Naogopa kuduplicate watoto.
 
Kawaida hiyo,kuna homornal changes ambazo zinapelekea hali hiyo kwa kina mama waliojifungua/miez ya mwanzo kwa mama anayenyonyesha!
 
Ni kawaida kwa yule anayenyonyesha, maana hormone zinazotengenza MP huwa zinabadilika na kutengeneza maziwa, hawezi kupata mimba mpaka aanza MP. endelea kusaga rumba kwa kwenda mbele.
 
Asanteni wapendwa kwa kunitoa hofu ila itaisha lini hii hali ili niwe makini kukwepa mimba mimba nyingne MUNGU AWABARIKI
 
ni kawaida mkaka yalishawahi kunikuta,ila ukue makini sana na hiyo uloiita dublication maana mama alietoka kujifungua ni rahisi sana kushika ujauzito!
 
ni kawaida hiyo isikupe shida
btw..ulisema kuna demu ukiduu naye unaamka na bonge ya headache,sitaki kuamini mambo mawili hapo:
1. Ulimuita mkeo demu
2. Ulicheat ndani ya miezi mitatu tangu mkeo ajifungue
either of the two is not good at all at all oh!
take good care of your self and family
Be Blessed.
 
asante kwa kutambua hilo ila ni huyohuyo mke wng au demu coz nakaa nae ila sijafunga nae ndoa be blessed n' you
 
ni kawaida hiyo isikupe shida
btw..ulisema kuna demu ukiduu naye unaamka na bonge ya headache,sitaki kuamini mambo mawili hapo:
1. Ulimuita mkeo demu
2. Ulicheat ndani ya miezi mitatu tangu mkeo ajifungue
either of the two is not good at all at all oh!
take good care of your self and family
Be Blessed.
Bora umevunja ukimya, kitaluuma mimi ni Dr. na mwanzo nilidhani shida zote zinazoandikwa hapa ni za kweli hivyo baadhi nilijitahidi kutoa ushauri na bado naendelea. But nimegundua wengi wa wanaoomba ushauri huwa hawana hizo shida, na tena nimegundua baadhi yao hata huwa hawafuatilii japo kwa kuusoma tu ushauri uliotolewa!!!
Kwa mfano utashangaa mtu leo kasema jogoo lake halipandi mtungi, next day anaomba ushauri mke wake hazai, another day anaomba dawa ya kuacha masturbartion nk!!!! au analalamika jogoo lake limekuwa kero mtaani??!!!!!!!!!!
Wana JF naomba tutumie jamvi hili kwa kuweka shida zetu za kweli.
Pongezi Daughter.


Ni imani yangu waliobuni uwanja huu walibuni ili watu wapete misaada na sio mahali pa mizaha,
 
Sawa lakini sio sahihi kumuita demu,muite hata mpenzi au mzazi mwenzio kama neno mke linaisuta nafsi yako

asante kwa kutambua hilo ila ni huyohuyo mke wng au demu coz nakaa nae ila sijafunga nae ndoa be blessed n' you
 
Back
Top Bottom