Doctor of Medicine vs. Veterinary Medicine

GOLDGREEN9

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
351
216
Hi! wanajf ,Tupeane maujuzi ya hizi kozi kwa upande wa fursa za ajira serikalini,kujiajiri na mshahara serikalini.Mfano daktari anayeanza serikalini (MD)huanza na mshahara wa 1.2mil je na Huyu wa Bachelor of veterinary medicine inakuaje? na fursa zikoje kwa kila kozi? Je kozi ipi inahitaji kujipanga sana ili uisome vizuri?
 
Kama unataka kuajiriwa moja kwa moja serikalini na mshahara mkubwa nenda kasome MD
 
Kama unahitaji field peculiar,isiyo na usumbufu na yenye fursa nyingi kasome BVM ,huko bado wengi hawajapastukia wanakimbilia MD
 
Eleweka, Ugumu katika mazingira gani,?Kusoma na kuhitimu, au Kwenye utendaji baada ya kuajiliwa?
Na kwa Tz Field ya BVM bado Sana hasa kiajira, Labda kwenye nchi za wenzetu, wanafuga mfugo ya kila namna nakuithamini! MVM Mwenyewe akiugua hupelekwa kwa MD, hapo ndipo Ugumu,tofauti na ubora unapojidhiirisha
 
Eleweka, Ugumu katika mazingira gani,?Kusoma na kuhitimu, au Kwenye utendaji baada ya kuajiriwa?
Na kwa Tz Field ya BVM bado Sana hasa kiajira, Labda kwenye nchi za wenzetu, wanaofuga mifugo ya kila namna na kuithamini! BVM Mwenyewe akiugua hupelekwa kwa MD, hapo ndipo Ugumu,tofauti na ubora unapojidhiirisha
 
sijawahi kuona mtu aliesoma kozi ya afya y mmwanadamu analia njaa au ajira, iwe famasia, maabara au udaktari.
hiyob BVM ipo SUA tuu sikatai mambo ya kilimo ya lipa na nduguvkibao wapo wizara ya kilimo ila unapaswa upambane upate ajira iiahindikana kalime shamb maana wewe ni mtaalamu sasa. ila in all MD IS THE BEST tena achana na ajira ya serikalini nenda private ulipqe mmmamilioni ya shillingi. GOD BLESS YOU
 
my bro alisoma bvm sua..saivi yuko njema sana ..anamiliki investments za kutosha hapa arusha..anaenda usa kwentevmasemina kama ambavyo wewe unaenda kariakoo.
 
my bro alisoma bvm sua..saivi yuko njema sana ..anamiliki investments za kutosha hapa arusha..anaenda usa kwentevmasemina kama ambavyo wewe unaenda kariakoo.
yap maisha ni popote kikubwa kuipata afasi, semina zinalipa sana, mbona demu wangu ni nesi anapiga semina nyingi sana na anapeesa kushinda hata hao watu wenye masters za political science
 
Hi! wanajf ,Tupeane maujuzi ya hizi kozi kwa upande wa fursa za ajira serikalini,kujiajiri na mshahara serikalini.Mfano daktari anayeanza serikalini (MD)huanza na mshahara wa 1.2mil je na Huyu wa Bachelor of veterinary medicine inakuaje? na fursa zikoje kwa kila kozi? Je kozi ipi inahitaji kujipanga sana ili uisome vizuri?
Hiyo 1.2M ni take home.Gross ya Medical Doctor ni 1.48M.Aidha huyu halipi 8% ya HESLB sababu huwa anapewa grant na sio loan
 
Back
Top Bottom