Doctor Isaac Maro ni nani?

Tukiwaambia Wachaga tunapiga kazi mnakuja kuhororoja hapa na kusema wachaga ni wezi sasa mwangalie kijana mbichi wa kichaga anavyo piga mzingo! Mara yupo Tanzania mara South Africa mara China mara Japan mara Marekani! Vijana tutafute tuachane na siasa na uvivu na majungu
 
huyu jamaa ni mpambanaji sana, nimewahi kuzungumza naye ni anapiga kazi kweli kweli, kila mahali yupo na anaitafuta shilingi kweli kweli. yuko Tokyo anasoma, anatangaza kipindi chake cha radio akiwa Tokyo na anauza magari pia, ukitaka kuagiza gari japan unawasiliana naye ni wakala wa makampuni ya kijapan yanayouza magari pia, maana yake huyu jamaa kila ajira/fursa iliyoko mbele yake ni dill
 
Ni doctor by professional na ni mtangazaji wa vipindi vya afya cheki na njia panda pale Clouds media. Na kwasasa yuko Tokyo Japan anaongeza elimu yake.
 
Tukiwaambia Wachaga tunapiga kazi mnakuja kuhororoja hapa na kusema wachaga ni wezi sasa mwangalie kijana mbichi wa kichaga anavyo piga mzingo! Mara yupo Tanzania mara South Africa mara China mara Japan mara Marekani! Vijana tutafute tuachane na siasa na uvivu na majungu

Kwa hiyo na wewe unapiga kazi huku Jf??
 
mitanzania ni wivu na uvivu tu we unashangaa kufanya kazi mbili tena hiyo ya clouds ni lisaa limoja kwa wiki,uliza dk kuboja utamkuta muhimbili,agakhan,tumaini na tnj jiulize anakigawaje,hapa kazi tu
Anapata wapi muda wa kufanya self improvement na kuongea na Mungu? Au ndiyo wale siku akigombana na mke wake anakimbilia kujinyonga?
 
mitanzania ni wivu na uvivu tu we unashangaa kufanya kazi mbili tena hiyo ya clouds ni lisaa limoja kwa wiki,uliza dk kuboja utamkuta muhimbili,agakhan,tumaini na tnj jiulize anakigawaje,hapa kazi tu
Sio lisaa limoja bali ni zaidi ya masaa mawili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom