Doctor Isaac Maro ni nani?

Habari zenu wakuu!

Hivi huyu mtangazaji wa kipindi cha njia panda kinachorushwa kila jumapili Clouds Fm, Doctor Isaac Maro ni Doctor kweli?

Na kama ni daktari kweli, anawezaje kumudu kazi zote mbili?
Ni usalama wa taifa
 
Back
Top Bottom