Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu.. MziziMkavu kasafiri kidogo ila akirudi atakusaidia
Doctars mimi nna matatizo mawili! 1.sipati ham ya kunywa maji yaani inafikia ha2a najilazimisha kunywa kama anae kunywa dawa!. 2.mgongo, kiuno vinaniuma kama vile mzee wa miaka 80 wakati umri wangu 22yrs!, pls naomba mnisaidie dawa kama ipo!
Dawa yake fanya mazoezi ya viungo utapata kiu ya kunywa maji na upendelee kunywa maji ya uvuguvugu jaribu kutembelea hapa uone faida ya ya kunywa maji ya uvuguvugu bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/365977-muujiza-ya-matibabu-kwa-maji-ya-moto-kunywa.htmlDoctars mimi nna matatizo mawili! 1.sipati ham ya kunywa maji yaani inafikia ha2a najilazimisha kunywa kama anae kunywa dawa!. 2.mgongo, kiuno vinaniuma kama vile mzee wa miaka 80 wakati umri wangu 22yrs!, pls naomba mnisaidie dawa kama ipo!
karudi....Pole mkuu.. MziziMkavu kasafiri kidogo ila akirudi atakusaidia
Dawa yake fanya mazoezi ya viungo utapata kiu ya kunywa maji na upendelee kunywa maji ya uvuguvugu jaribu kutembelea hapa uone faida ya ya kunywa maji ya uvuguvugu bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/365977-muujiza-ya-matibabu-kwa-maji-ya-moto-kunywa.html
jlDoctars mimi nna matatizo mawili! 1.sipati ham ya kunywa maji yaani inafikia ha2a najilazimisha kunywa kama anae kunywa dawa!. 2.mgongo, kiuno vinaniuma kama vile mzee wa miaka 80 wakati umri wangu 22yrs!, pls naomba mnisaidie dawa kama ipo!
labda anaishi njombe/rungwe ambapo hali ya hewa ni baridi sana. Muhimu kwake ni kutambua kwamba maumivu ya mgongo, kiuno etc yanaweza yakawa yamesababishwa na kutokunywa majiSijui hata kama kuna hamu ya kunywa maji; maji unakunywa tu labda kama mazoea au kama hobby.
Kama haunywi maji unaweza ukawa unaumwa hadi ukalazwa hospital; mie siyo doctor najipitia zangu tu mwaya.
labda anaishi njombe/rungwe ambapo hali ya hewa ni baridi sana. Muhimu kwake ni kutambua kwamba maumivu ya mgongo, kiuno etc yanaweza yakawa yamesababishwa na kutokunywa maji[/QUOTE]
Hii ni kweli kabisa