(Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia

Kwani JK kaanza kuiba leo? Hili ni jizi lililobobea haiwezekani tuwe tunaibiwa kila siku namna ile ile bila wezi kukamatwa. Angalia FBI files jinsi wanavyoshika wezi. Tukitumia style yao tutamkamata chacha hivi.
Mbona anaezungumziwa Mahalu na mtowa mada anasemaq kuwa JK alishiriki kumfanyia zengwe? Basi hata kutema mate lazima ukchungulie tundu la choo? Kweli una ganzi na JK!
 
...kwa sisi tunaomfahamu mkulu hatushangai hii post. jamaa ni mtu wa visasi sana ila kuna watu wataibuka na hoja ya udini ku-divert main theme ya hii thread maana ndio relief yao kuu

Kwani hujaiona hiyo kutoka kwa mtowa mada? Kosa lake ni kuwa hata huyo Bosi wake wakati huo walikuwa dini moja!
 
Kuna huyo dada anaitwa GRACE MARTIN

nilivyosikia na yeye aliiingizwa kwenye kesi

sasa naomba kujua role yake ilikuwa ni nini zaidi ya kuandika hizi barua?

tazama pdf ref iliyoandkwa UNUNUZI WA JENGO

Lakini pia naulizia profile yake
 
I am hitting the ground while running.
Ndugu zangu salamu zangu hizi hapa. Hebu someni attachments hizi muone nani mwongo.
Regards

na hii pia:
Re: Yanayozungumzwa Ministry of Foreign and International Affairs (MFAIC) na mitaani kuhusu FITNA zilizofanywa dhidi ya Professor Mahalu na kesi anayokabiliwa nayo mahakamani Tanzania.
1: Kwamba Balozi Mahalu alikataa begi lile la "diplomatic bag" lisitumike katika ubebaji wa PESA toka nchi za Ulaya Mashariki zilizopelekwa Ubalozini Roma ili zisafirishwe kwenda Dar es Salaam kwa ajili ya kampeni ya URAIS ya mwaka 2005.
Inasemekana kwamba Balozi Mahalu alikataa utumiaji huo wa diplomatic bag kwani haukuwa sahihi. Kwa kuzingatia utaratibu na kanuni yeye alikomolewa kwa kufukuzwa kazi
2: Kwamba Balozi Mahalu alikataa kushiriki katika njama za kuiba pesa ya Watanzania Euro billioni 2.4 kwani katika tathmini iliyofanywa na Wizara ya Ujenzi kuhusu Jengo la Ubalozi, bei ya Jengo hilo lingegharimu Euro billioni 5.5 na siyo Euro billioni 3.1 bei ambayo ndio bei ya Jengo iliyokubaliwa chini ya usimamizi wa Balozi katika mchakato wa ununuzi.
Wapo maofisa wa Wizara ya Nje walioshinikiza serikali inunue jingo lile kwa Euro billioni 5.5 kwa kushirikiana na aliyekuwa Honorary Consul, Tanzania Consulate ya Milano, marehemu Avvocato Georgio. Uadui na chuki dhidi ya Balozi Mahalu ulitokana na hilo pia.
3: Kitendo chake cha kuwakirimu Ubalozini Maaskofu wa Kanisa la Katoliki waliotembelea Italia kilionekana kama kurasimisha UKRISTO wa Ubalozi pale Roma. Tuhuma hizi zipo sambamba na kile alichozusha Shehe na Mnajimu mmoja kwamba Balozi Mahalu ni adui wa Uislamu kwani Balozi Mahalu ndiye aliyetayarisha Memorandum of Understanding (MOU) kati ya Serikali na Kanisa ili Taasisi za Kikristo zilizokuwa chini ya Serikali zirudishwe na kuwa chini ya Kanisa kama ilivyokuwa awali.
4: Umiliki wa Balozi Mahalu wa shamba la hekta 500 kandokando ya barabara iendayo Bagamoyo haukumfurahisha aliyekuwa Bosi wake enzi zile kama Waziri wa MFAIC. Sasa hivi shamba lote limemegwa na kuwa sehemu ya EPZ ya Bagamoyo.
5: Kama michezo michafu iliyochezwa kwenye majengo ya Ubalozi wetu Burundi, Khartoum na nchi nyingine, Balozi Mahalu alishitulia NJAMA za kuuzwa kwa jengo la makazi ya Balozi pale Roma. Njama hizi zilibuniwa na maofisa wa MFAIC. Balozi Mahalu alihakikisha kwamba suala la uuzwaji huo kiholela limefikishwa kwenye vyombo vya sheria kule Italia na kufanikiwa kurudisha umiliki wa hilo jengo kwa serikali ya Tanzania. Na hapo pia balozi Mahalu alijiongezea MAADUI ambao wamedumu hadi leo.

Hapo kwenye RED una uhakika uhakika na hiyo currency yako (Euro)?! Mind you, Euro 1 = 2128 Tshs (kwa exchange rate ya leo), so hapo unazungumzia Trillions of money...Its not TRUE!
 
This matter is sub judice. Those who are discussing it risk facing contempt proceedings in court!
 
Mara nyingi viongozi wa kiafrika na hasa wanasiasa wanapobanwa na kashfa hukimbilia kutaka kupata msaada kwa kusema wanaonewa kwa sababu ya dini au makabila yao!!Tumeyeona hayo huko Kenya ambako watuhumiwa wa machafuko ya nchi ile baada ya uchaguzi wao sasa wanadai kuwa wanashitakiwa huko Hague kwa mauaji ya maelfu ya wananchi wao eti kwa sababu wao ni waKalenjin au wakikuyu; hapa kwetu viongozi wameshindwa kuongoza nchi na pale wanapokosolewa wanajificha kwenye pazia la dini zao badala ya kukili udhaifu wao. Hawa jamaa wanapoiba au kuua hawaibi wala kuua kwa niaba ya makabila yao wala dini zao bali ni wao binafsi kwahiyo wanapokamatwa kukimbilia kujitetea kwa kutumia ukabila au dini ni kukosa hoja za msingi za kujitetea!!
 
Hivi huyo mahalu aliachishwa job na serikali ya mkapa ama jk?maana kuna pöst humu full of hatred
 
Hivi huyo mahalu aliachishwa job na serikali ya mkapa ama jk?maana kuna pöst humu full of hatred
 
asante kwa kutuhabarisha ila napenda urekebishe thread yako kwenye hela euro bil 2.4, euro bil 5.5.
euro billioni ni hela nyingi sana. hapo ilitakiwa iwe euro mil
 
Huwa nakumbuka quote moja tu kutoka kwa rais JK nayo ni ile ya Mbayuwayu kwamba "akili za kuambiwa changanya na za kwako" ndipo uamue kwa usahihi.

Hata hapa JF, ukisoma thread na comments za watu inabidi uchanganye na za kwako otherwise utakuwa unakwenda mbele hatua tano na kurudi nyuma hatua tano which is nonsense.
 
Kuna huyo dada anaitwa GRACE MARTIN

nilivyosikia na yeye aliiingizwa kwenye kesi

sasa naomba kujua role yake ilikuwa ni nini zaidi ya kuandika hizi barua?

tazama pdf ref iliyoandkwa UNUNUZI WA JENGO

Lakini pia naulizia profile yake


Unayemuulizia alikuwa Afisa Ubalozi na alishiriki katika deal akapata cut yake. Ndiyo maana naye ni mshtakiwa.

Ni mke wa mtu lakini Prof alikuwa anamega.

Mume mtu ambaye muda mwingi alikuwa Bongo kikazi alipata fununu lakini hakuwa na ushahidi ...akaishia kusononeka saana.

Baada ya kupata cut yake, Mke alikuja Bongo kikazi au likizo.

Akiwa home na mapesa lukuki, akashawishika kumweleza mumewe juu ya neema iliyowashukia na jinsi ilivyopatikana.

Mume mtu alichofanya ni kusikiliza kwa makini maelezo ya mkewe na kupata ukweli wa deal yote.

Akaona amepata fursa ya kulipiza kwa mbaya wake.

Kilichofuata ni kuiilipua issue nzima kwa wakubwa wa Prof.

Huo ukawa mwanzo wa uchunguzi na kesi kufunguliwa.
 
That is very cheap and no body is prepared to stoop too low ans succumb to your propaganda. The guy has been found to have a case to answer in court and he has been tinkering from one court to another, thinking that he would get a reprieve but to no avail. This is a simple case of theft without any element of religion as you want people to believe. Does this explain or justify why a professor of law had to prepare two sets of contract in respect of the same subject matter and what would be the motive? The Seller has testified and stated in no uncertain terms that the price in one of the contracts was unduly inflated. The evidecne has found that the professor stashed some funds, believed to be proceeds of this illegal business in an account in Monaco or some where in Europe. If you thought people here are so stupid as to suport what you are saying then try somewhere else not in this country where people have all the details at finger tips. You can find another way of diverting attention but using religion as an impediment to a fight against impunity will never be acceptable.

There is obviously no slight religion insticts in the Mahalu saga. I believe so given nature of evidence against him which shows existence of discrepancy in payment for the building between the real price and the price in issue at court of law.It is apparent that investigation of Mahalu case was done very thoroughly. But ill will against him is seen not on why he was condoned but on why some Tanzanians who have stolen far bigger amounts of public money than that are condoned to the extent of transforming the serious criminal cases of theft into civil ones as if Tanzanians had agreements with those big thieves to steal a little but they have breached contract by stealing a lot ! Mahalu has been treated with justice,then other thieves have to be treated the same way. Why double-standards?
 
ukiwa mkristo tu, yaani utatetewa humu JF. Nijuavyo hata mtoto akiiba wakati akipata kibano mama yake ikiwa hapo huwa yupo tayari kumtetea mtoto wake kuwa hakuiba. Ukiwa mtu wa baa ni tabu sana
This is KINYESI! SIMPLY.
Ndugu, unasema kweli? Kwenye hii sredi wamemtetea wangapi? Haaa sorry, kumbe nilisahau Lowasa, Chenge nk kumbe siyo wakristo! Halafu na Kikwete kumbe ni mkristo, maana huwa kuna watu wanamtetea humu!!
 
To me this is rubbish. Huyu Bwana kwa kushirikiana na Balali na wengineo walikula njama za kuongeza cha juu kwa gharama halisi ya hilo jengo. Tunajua kwamba baada ya kufanikisha malipo hayo na kupata cha juu, Balali alienda Rome na huko alifunga ndoa na huyo anayeitwa mke wake kwa kutumia mgao wa hizo pesa. Balali alikodisha Helicopter na harusi ilifungwa angani!!! Huku kulikuwa ni kulewa pesa za ufisadi!!!! Halafu leo aje mtu hapa na kusema Mahalu hakuhusika na anachukiwa kwa sababu ya dini yake?

Mahalu naye ni mwizi tu pamoja na Uproffesor wake.

Tiba
Ulikuwepo kwenye hiyo harusi Rome? Unaweza kutuwekea hapa picha za hiyo helikopta uliyoiona ikifungisha harusi angani?:
 
Hivi huyo mahalu aliachishwa job na serikali ya mkapa ama jk?maana kuna pöst humu full of hatred
Aliachishwa kazi na Kikwete. Kikwete akiwa waziri wa mambo ya nje alipeleka malalamiko yake kwa Mkapa kuhusu Mahalu na Mkapa akamjibu kuwa "leave him alone." Alipopata ukulu kwanza akaachishwa kazi na pili akafunguliwa kesi mahakamani. Bulesi, kuongezea tu kwenye point yako, Mahalu hajatumia suala la udini kujitetea.
 
... there could be a LOT MORE under the carpet and going through the attachments there is little doubt that the following is relevant:

ONE: Our then Government was fully aware of the whole process ( I am referring to the correspondence between Officials of the Ministry of Foreign Affairs and Chief Secretary Lumbanga)

TWO: Marten Lumbangas testimony at Kisutu and from what I recall as being alleged to be his statements to the media (denying his alleged part in the two Contracts issue) is an infraction from the TRUTH he ought to have told the Magistrate at Kisutu and while at that, is seriously contradicted by contents of one of the attachment in this thread. Perjury?

THREE: I am in recollection of yet more contradictions in the testimony of Ambassador Ibrahim at Kisutu Magistrates Court as it seems from the attachments that The Ministry where he served was fully involved in the transaction right from the onset. Perjury?

FOUR: The attached copy of POWER OF ATTORNEY and interpretation to a rightfully
thinking person leaves plenty to be appreciated.

FIVE: According to the Hansard copy also appended in this thread, the transaction was executed in accordance at par with requirements. I wonder how therefore, could there be a CASE alleging differently?
I am not surprised that the GOVERNMENT is not PLAINTIFF in the suit. Instead, some guy then residing at Kibaha and said to have been in the employment of PCB, appears to be Plaintiff. This fella is alleged to have stated tha he had heard about the alleged theft KWENYE REDIO and henceforth pursued the matter to what it is today. What a farce???

So, tukiacha mambo ya kidini ambayo jamaa flani zangu wanakuja nayo kwa sababu wazijuazo wao, kwa nini watu wasijiulize yafuatayo:

KWA NINI ALIYEFUNGUA MASHITAKA SIYO SERIKALI??? Anayepingana na hili athibitishe vinginevyo. KWA NINI SERIKALI HAIKUFUNGUA MASHITAKA YA KUIBIWA AU KUSABABISHIWA HASARA KAMA TUHUMA ZILIVYO?
 
Back
Top Bottom