Binkcarter
JF-Expert Member
- Jul 23, 2014
- 378
- 390
Ebhana ilikuwa ni noma ... Mtoto Jack kanizungusha Sana na drawing board langu . Chuo Safi Sana.. I remember that life.. boom life na warembo wa UDBSHaaaahaaa Enzi zetu wacoet tulipata shida kwa watoto wa udbs